Pages

DAKITAR FEKI AKAMATWA MUHIMBILI WAGOJWA WALIDHANI NI DAKITARI BINGWA KUMBE NI SONARA

Dec 8, 2014

    SOURCE MILLARDAYO.COM
Moja kati ya matukio yaliyochukua headline ni hili tukio la kukamatwa Daktari feki,Dismas Macha katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) akiwa amevaa sare za kazi kama Daktari ambapo hii inakuwa mara ya pili kukamatwa akiwa anachangisha rambirambi kwa Madaktari akidai kuwa amefiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu na Upasuaji wa Ubongo ya MOI, Dk Othman Wanin Kiloloma amesema; “Tumekuwa tuna tatizo kubwa la kuletewa watu wanaokuja wao na kujitia ni madaktari wakiomba watu pesa, wakiomba waweze kupewa takrima na hata michango mingine na wamefikia hatua sasa ya kuwatapeli hata madaktari wenyewe kwa kuomba michango na vitu vingine
Leo tumewaita Waandishi wa Habari kuwaeleza kisa cha mtu ambee amekuja na kujitia yeye ni Daktari wa sehemu ya taasisi na anaomba michango mbalimbali, na mtu huyu sii mara ya kwanza amekuwa akishikwa Muhimbili sehemu tofauti kwa wakati tofauti kwa hiyo tumewaita ili muweze kumtambulisha kwa jamii asiweze kudanganya watu wengine kwamba yeye ni Daktari”– Dk. Kiloloma.
Mwananchi mmoja ambaye alikuwa mmoja ya watu walishuhudia mtu huyo kukamatwa amesema; “Suala la Madaktari feki tatizo kubwa lililopo sio Madaktari feki kama hivyo kuna Mahakimu feki, Madaktari feki, ukishaona mahali popote anatokea mtu feki ujue kuna maslahi na tatizo kubwa linalojitokeza kwenye Hospitali ni ukifika Madaktari wenyewe halisi wanataka fedha ili wakuhudumie, kwa hiyo yoyote anaweza kujifanya feki kwa maana anakusanya fedha za Watanzania alafu anatoweka kwa hiyo anakuwa amekula fedha…
Read more ...

SABABU KUBWA 4 ZILIMFANYA DAVIDO AMINDI BAADA YA MTANZANIA KUA MSHIDI WA BIGBROTHER 2014

Dec 8, 2014
Read more ...

HAYA NI MAELEZO JINSI YA KUPATA INTERNET ISIYO NA KIKOMO :BOFYA HAPA KUPATA MAELEZO NI RAHISI MNOO

Aug 13, 2014
      
HAYA NI MAELEZO JINSI YA KUJIUNGA NA INTERNET ISIYO NA KIKOMO

1.baada ya kua umedownload hiyo program ya tunnelguru ambayo utaipata hapa
2.sasa iextract kwa kutumia program ya kuanzip kama huna idownload hapa

Pia hakikisha umeistall java 8 kwenye computer yako kama huna idownload hapa
 http://www.oracle.com/technetwork/java/javase/downloads/jre8-downloads-2133155.html

3.baada ya kua umeixtract sasa jaza hicho kiprogram cha tunnek guru kama nilivokunesha hapo chini



kuna suala la ku update tunnelguru namba suala hili kama hilielewi ni kwamba hatua ya kwanza lazima ulog in kwenye acaunt yako kupitia tunnelguru.com the utaona kitu kama hiki
baaada ya hapo ukisha log in utacheki kitu kama hiki
swali ni kwamba je hiyo tunnelguru namba utaipatia wapi?ni kwamba tunnelguru namba utaipata kwa kufanya hivi
bonyeza neno about katika kile kisofware chako cha tunnelguru kama hivi
kisha bonyeza CTR na C so utakua umecopy then unarud hapa kuipest

jinsi ya kuweka vocha

Log in kwenye akaunt yako kama hivi :Then nenda kwenye ki icon kimeandikwa apply vocher then 
then utaingia kwenye hii section
baada ya hapo weka user ID then weka vocha yako 

nadhani maelezo haya yatakusaidia ili uweze kujipatia internet ya kutosheleza mahitaji yako:
wasiliana kupitia
                     0688148836 hii ipo wattsup
0759212578
Read more ...

MAELEZO JINSI YA KUPATA INTERNET BILA KIKOMO

Jun 25, 2014
 BONYEZA HAPO CHINI KUDOWNLOAD HIYO DOCUMENT KWANZA



http://www.scribd.com/doc/231253316/TUNNELGURU-SETTINGSF

MAELEZO ZAIDI NICHEKI 0759212578
Read more ...

TIGO UNLIMITED INTRENET AT ZERO BALANCE

May 17, 2014


Read more ...

INTERNET YA BURE KABISA :FUATA NJIA HIZI CHACHE UIFURAHIE

Dec 12, 2013


Requirements 

Read How to get started with TunnelGuru before this

1.Java Runtime enviroment which you can Download http://filehippo.com/search?q=Java
Try to check in your email SPAM FOLDER or INBOX folder for username and password


IF You have all these then proceed here below
1.Register for username and password on requirement 3 link
2.Download new TG client from requirement 2
3.Install WinRAR if it not present in your pc(requirement 4)
4.Use WinRAR to unzip/Extract TGv.2.6.0.0.zip


If no idea on how to unzip look on this image



5.Open the folder and Run TunnelGuru client



6.Fill the credentials as shown below
7.Press start Proxy and Press Ok for the messages that will Pop up  and lastly it will say “SUCESSFUL..”
You may get errors but dont care Go ahead till it says successfully


.Fungua TG client yako afu fuatisha picha



















Kwnye Keyboard yako bofya CTRL+C ili ku-copy TG number


Baada ya hapo Login http://tunnelguru.com/account.php  afu update TG number yako
hakikisha umejaza kwenye Box moja tu na hakikisha TG Client ipo Desktop  usiamishe mpaka subscrption yako iishe
 




You are done now but the issue is that You will not be able to acess Internat Till you configure browser settings with Proxy server 127.0.0.1:6052 and Torrent clients use 127.0.0.1:6055
you may use any browser but the good browser i prefer for you tou use this browser called maxthon
that you may download it from here  http://www.maxthon.com/

there after you need to fill the port setting in that maxthon browser as follows

Go to the URL after installing it the write the world about:config as i have shown you below then you will see the set up 

these are the set up page that you will see
then after click the highlighted icon written proxy
then after you will see this below
click the world add then do as follows 
fill as it is never mind about user name and paswd you may put watever user and paswd you like
.
the go to your browser and do what ever you like in internet
contact me in any problem 0688148836

au soma hapaaaaaa

<> How to Setup TunnelGuru in you PC :
1> Install -JAVA7 [ http://Tunnelguru.com/java ] Recommended use this java
2> Quick Register - http://tunnelguru.com/registration.php
3> Downlaod from here - http://tunnelguru.com/download.php

<> What it is :
Fast HTTP(S) Tunnel , VPN Tunnel Proxy.
ICMP Tunnel ,DNS Tunnel ,Web Proxy. 
Full Blown Speed , Value for Money.
Voucher Code never Expires

<> settings :
First Update TG no [ TG Client->About Box] in web account.
REdownload v2.6.0 AGAIN now

Use following settings. 

In Mozilla point to 6052 for all protocol.
If you Proxifier you can use port 6054/6055/6056.

For more info/voucher Call : 0688148836 au text me

Server IP: [ Proxy Host ]

95.211.191.132 [ Netherlands-1 ] ( TORRENT Allowed )
95.211.191.170 [ Netherlands-2 ] ( TORRENT Allowed )
70.38.42.92 [ Canada-1 ]
70.38.42.93 [ Canada-2 ]
199.189.110.28 [ USA-1 ]
199.189.110.29 [ USA-2 ]
46.23.64.83 [ UK-1 ]
46.23.64.84 [ UK-2 ]

Disable Antivirus for better speed!!!

VPN over HTTP 

If you want to use VPN over HTTP..First Start HTTP Tunnel ( above steps) 
Then Come to VPN TAB and Start VPN ( following exact settings-screenshot).
Please note: Use both HTTP and VPN server from same location. 
Say You have first started HTTP using any UK location server , Then use TCP VPN server from UK location only.
If you are usign VPN do not forget to REMOVE proxy setigns from individual application like Mozilla etc..





Read more ...

SABABU KUU ZA DR KABANGILA KUJIUZURU (MAT)

Dec 2, 2013
Picture: Dk Rodrick Kabangila
 Katibu Mkuu na baadaye President-Elect wa Chama cha Madaktari Tanzania, MAT, Dk Rodrick Kabangila ametangaza rasmi kujivua na kujiudhulu nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho cha kitaaluma, na kutangaza kujinga rasmi na chama cha siasa, CHADEMA.

Katika taarifa iliyooneshwa na runinga ya Star-Tv, Dk Kabangila amesema kuwa kwa mujibu wa sheria, imembidi kuamua kufanya lililo sahihi na sasa amejiunga rasmi ili kupata wigo mpana wa kupigania maslahi ya fani, madaktari na wananchi.
Read more ...