Pages

WELLCOME TO THE MAINCAMPUS CLICK THE TAG BELOW TO ENTER

Dec 17, 2012
Read more ...

COCACOLA INTERCOLLAGE MWANZA BASHH YAFUNIKA

Dec 16, 2012
 Kampuni ya cocacola imeendesha bonanza katika viwanja vya TUNZA BEACH .bash hiyo imehusisha vyuo vyoue kutoka mwanza .ambapo watu wamechill na kuenjoy katika michezo mbalimbali
  blogger wa bugando blog sadru mohamed akiwa mlinda mlango wa timu ya bugando katika sand fotball match kati ya chuo cha bugando na chuo cha saut


 watu wakichill na kuejoyyyyyyyyyyyyy
 baada ya team ya bugando kushinda puzzle ya sprite hivyo na kujishindia zawadi ya saa
 wadau kutoka CBE MWANZA katika pozyyy
                   timu ya ushindi kutoka bugando

             bayo nade kutoka bugando aliibuka mshindi baada ya kuwashinda wenzake katika shindano la kula biscut na kunywa soda katika dk 2.5
               bloggerwa bugando blog kushoto katika pozy na wadau wa vyuo vingine
Read more ...

HAWA NDIO WAZAZI WALIOMLAZIMISHA MTOTO WAO WA MIAKA 8 'KULAMBA' NYETI ZAO WAKATI WAKIFANYA TENDO LA NDOA!

Dec 13, 2012



ULE mwisho ambao ulitabiriwa ana manabii wengi unaonekana kuwa  karibu kabisa kwania haya matendo ambayo wanafanya binadamu kwa sasa yana sikitisha kabisa,.. Tukio la kusikitisha lililotokea hivi karibuni huko Nchini NIGERIA na kuonekana kuteka hisia za wadau wengi wa motandao hapa DUNIANI ni lile linalowahusu wazazi wa mtoto wa miaka 8 waliotoa kihoja ama kama si kituko pale walipomwamuru mtoto wao huyu kuwaangalia wakati wao wakifanya TENDO la NDOA......

Katika kudhihirisha hayo wasusika hao wanadaiwa kufanya hayo wakati wa TUKIO ambapo inaelezwa kuwa wakati wakiwa CHUMBANI wakipeana MAHABA moto moto ndipo walipokumbuka ya kuwa kulikuwa na mtoto wao huyo ambae  ni wa miaka 8 tu akiwa Sebuleni akiangalia TV.... Ndipo SHETANI alipompanda mama mzazi wa mtoto na kumwamuru mtoto huyo atoke Sebuleni na badala yake aje CHUMBANI na kuangalia Upuuzi wao..... Inasemekana kuwa mama mzazi alimwambia mwane huyo kuuwa nia ya kufanya hivyo ni kumfunza jinsi ya kufanya TENDO hilo ili atakapopevuka awe anaelewa ni nini kinaendelea katika ULIMWENGU huu kwani asipomonyesha kipindi hichi hakuna tena MTU Mwingine ambae angeweza kupoteza muda wake kumfundisha...

Taarifa zaid zinadai ya kuwa mara mtoto huyo mdogo kabisa kwa shingo Upande kukubali kutiii Masharti na Amri hiyo kali aliyopewa na mama yake mzazi ndipo wawili hao walioamua kufanya kila aina ya uchafu wa MAPENZI huku wakimwonyesha mtoto wao huyo jinsi ya kufanya.....   AMA kama hiyo haitoshi kitu cha kusikitisha zaidi ni pale wazazi hao walipomwamuru mtoto huyo Mdogo Ashiriki nao ili apate ujuzi zaidi... Mama mzazi ndio aliyeonekana SHETANI zaidi pale alipomwamuru mtoto huyo 'kuzilamba' sehemu zao za siri na kunyonya maji maji ambayo yalikuwa yakitoka wakati wa TENDO   na kuinyonya sehemu ya siri ya Baba yake.....

Tukio hilo la kusikitisha linaonekana kuwagusa watu wengi na watu wengi wameonekana kulaani kitendo hicho kichafu kilichofanywa na wazazi hao.........

CAHNZO: Parents Force 8-year-old Daughter To Watch Them Sexing and Lick/Suck Their Privates
Read more ...

DENTI AMWANGUSHIA KICHAPO KIZITO KIBAKA, NUSURA AUE!!

Dec 13, 2012

Kibaka aliyetaka kumpora denti wa kidato cha sita shilingi milioni tatu akiwa hoi baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi eneo la Area Five jirani na kituo cha Oil Com kilichopo maeneo ya Nane Nane mkoani Morogoro leo.
 Askari wa pikipiki maarufu kama 'Voda Fasta' walifika eneo la tukio na kumuokoa kibaka huyo asiendelee kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.
Denti aliyefanikiwa kumkabili kibaka huyo, Marry Gasto (22) akiwa na begi lililokuwa na fedha hizo alizotumiwa na baba yake kama ada ya shule.
Read more ...

COLLAGE SPONSYIUM BASH KWA WANAVYUO WOTE WA MWANZA

Dec 12, 2012

Photo: ALL WELL COME

KAMPUNI YA COCACOLA IMEANDAA BASHH KWA WANAVYUO WOTE KUTOKA MWANZA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 15/12/2012 KATIKA VIWANJA VYA MALAIKA BEACH RESORT KUANZIA SAA 4 ASUBUHI HADI  SAA 12 JION

KIINGILIO NI SHILING 6000/ =  PAMOJA NA BITES NA DRINKS
EVENTS :
         GETTING TOGETHER 
         GAMES  KIBAOOO
         CHILLING

VYUO SHIRIKI

CBE MWANZA

SAUT(MWANZA CAMPUS)

BUGANDO

MIPANGO(MWANZA CAMPUS)

TIA

IQRA

VICTORIA INSTITUTE

CRDO MINING 

NGWANZA TEACHERS 


CONTACT GAZAR AHMED (CBE) 0755543542 

AU 0753143709 
Read more ...

KUTOKA EATV MKASI NA P-FUNK MAJANI

Dec 12, 2012

Read more ...

NA HUYU NDIYE MRITHI WA KANUMBA BAADA YA KUPEWA BARAKA NA MAMA MZAZI WA KANUMBA

Dec 12, 2012


MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ametoa baraka zake kwa mwigizaji chipukizi, Philemon Lutwaza ‘Uncle D’ ambaye anatarajia kuigiza katika filamu ya After Death ambayo ni maalum kwa kumuenzi marehemu mwanaye, Imelda Mtema anashuka nayo.
Akizungumza na paparazi wetu juzikati, mama Kanumba ameweka plain kuwa ameridhishwa na uwezo wa Uncle D na anaimani kuwa ataweza kuziba pengo la marehemu katika nafasi ya kucheza na watoto wale aliokuwa akiigiza nao marehemu
Namshukuru sana Jacqueline Wolper kwa kuandaa filamu ya After Death maalum kwa ajili ya kumuenzi mwanangu. Nina imani kila kitu kitakwenda vizuri na mimi nimewapa baraka zote ,” alisema mama huyo.
chanzo:globalpublishers
Read more ...

Chadema wamng’ang’ania Waziri Magufuli

Dec 12, 2012


CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kueleza kama msimamo alioutoa katika kampeni za Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga ni wa Serikali au wake.Chama hicho kimesema kuwa msimamo alioutoa Magufuli wa kuunga mkono Chama cha ODM ni hatari kwa Tanzania hasa katika uhusiano na nchi hiyo na ni kinyume na mkataba wa kimataifa wa Rome.

Pia kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kueleza kama alimtuma Magufuli katika mkutano huo wa kampeni uliofanyika Desemba 7 mwaka huu, uwanja wa Kasarani na kusema Watanzania wanaunga mkono ODM au la.Msimamo huo wa Chadema ulitolewa jana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa chama hicho, Ezekieah Wenje.

“Hatujui kama Magufuli alikwenda Kenya kama Serikali au alikuwa amekwenda kama rafiki. Hilo linatupa wasiwasi kwa kuwa hotuba yake ilionekana kama ametumwa na Serikali,” alisema Wenje na kuongeza;

“Alichukua upande katika siasa za Kenya, alimsifia sana Odinga kwamba Tanzania wanampenda wakati kuna mikataba ya kimataifa inayokataza nchi nyingine kuingilia siasa za nchi nyingine kama ilivyoelezwa kwenye Rome Statute.”
Read more ...

KUTOKA IN CAMPUS:KISA CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI KCMC KUCHARANGWA MAPANGA

Dec 12, 2012

Read more ...

CORAL BEACH MASAKI HAPATOSHI JUMAMOSI HII!!

Dec 12, 2012
Read more ...

KOFFI OLOMIDE KUTOA BURUDANI KWA WAKAZI WA MWANZA JUMAPILI HII YA TAREHE 16/12/2012.

Dec 12, 2012
Read more ...

COLLAGE SPONSYIUM BASH KWA WANAVYUO WOTE WA MWANZA

Dec 12, 2012
Photo: ALL WELL COME

KAMPUNI YA COCACOLA IMEANDAA BASHH KWA WANAVYUO WOTE KUTOKA MWANZA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 15/12/2012 KATIKA VIWANJA VYA MALAIKA BEACH RESORT KUANZIA SAA 4 ASUBUHI HADI  SAA 12 JION

KIINGILIO NI SHILING 6000/ =  PAMOJA NA BITES NA DRINKS
EVENTS :
         GETTING TOGETHER 
         GAMES  KIBAOOO
         CHILLING

VYUO SHIRIKI

CBE MWANZA

SAUT(MWANZA CAMPUS)

BUGANDO

MIPANGO(MWANZA CAMPUS)

TIA

IQRA

VICTORIA INSTITUTE

CRDO MINING 

NGWANZA TEACHERS 


CONTACT GAZAR AHMED (CBE) 0755543542 

AU 0753143709 
Read more ...

HIVI NDIVYO ALIVYO MIKE TYSON BAADA YA KUBADILISHA JINSIA KUA MWANAMKE

Dec 12, 2012


Bondia maarufu katika enzi hizo za 2000 ameamua kubadili jinsia na kuwa mwanamke .baada ya kufanyiwa modifikation kwa masaa 16 huko nchini marekani,bondia huyo ameongeza na kusema kua atafurahi kupata hedhi yake kwa mara kwanza na kusema kua anajivunia kuwa mwanamke
Read more ...

KICHANGA CHA TUPWA JALALANI MASHUHUDA WADUAAA

Dec 11, 2012


 MWILI WA KICHANGA HICHO, UKIWA UMEFUNIKWA NA KITENGE CHA MWANAMKE ALIYEHUSIKA KUKITUPA KITOTO HICHO  HAPA MWILI WA KICHANGA HICHO UKIONEKANA BAADA YA KUONDOLEWA KITENGE  BAADHI YA WAKAZI WA KATA YA IYELA MTAA WA MAPAMBANO WAKIWA NA HUZUNI KUBWA BAADA YA KUFIKA ENEO KILIPOTUPWA KICHANGA HICHO  MWENYEKITI...
Read more ...

BUS KWETU TUNAOGA HIVII.....

Dec 11, 2012
ShambaEEEH WAANGALIE NA HAWA HUKU CHINI HEHE, NI KIJIJI CHA WANAWAKE TU, HUKO WANAUME HUWA WAPELEKWA KILA MWISHO WA MWEZI KWA AJILI YA KUPIGANA MITI VIPI UKITAKA MWEZI HUU UCHAGULIWE WEW TUJUZE HAPA UMBEYA@GMAIL.COM ILA SHARTI TUNAKUPIMA NGOMA KWANZA MAANA HUKO NI MWENDO WA KAVU KAVU HALOOO!
Read more ...

PICHA 5 ZA MASHOGA MAARUFU BARANI AFRIKA

Dec 11, 2012



Read more ...

DIAMOND THE PLATNUM VS AVRIL; ANGALIA PICHA 2 ZA DIAMOND AKIWA KATIKA POOZ NA AVRIL MH ETI WATU WANASEMA WANAD....

Dec 11, 2012


unasemaje kuhusu picha hizi?
Read more ...

ANGALIA PICHA ZA UCHAGUZI MPYA WA BONGO MOVIE; VICENT KIGOSI AWA MWENYEKITI MPYA WA BONGO MOVIE HUKU........!

Dec 11, 2012


Shilole akipiga kura

Mwenyekiti wa zamani wa Bongo Movies JB akimpongeza Jackline

Kutoka kushoto ni Chiki Mchoma, Ray na Jack Wolper

Irene Uwoya na Chiki

Hivi karibuni Bongo Movies ilipata viongozi wake wapya katika uchaguzi uliofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Read more ...

ANGALIA PICHA DAAH MAKUBWA HAYA;SENENE ZALETA KIZAA ZAA IRINGA MJINI, WALIMU NA WANAFUNZI WASHINDANA KUWAKAMATA

Dec 11, 2012
Baadhi ya walimu na wanafunzi wa shule mbalimbali za Msingi, Iringa Mjini wakikamata senene.
Gari likiwa limebeba senene kuwapeleka katika soko kuu la Manispaa ya Iringa kwa biashara.
Read more ...

DENTI MIAKA 7 ATELEKEZEWA KICHANGA

Dec 11, 2012

UNAWEZA kusema dunia sasa iko ukingoni inasubiri siku ya hukumu kwani matukio yasiyo ya kawaida yamekuwa mengi kila kukicha.
Desemba 8, mwaka huu, mwanafunzi wa darasa la pili, katika Shule ya Msingi Mbata jijini hapa aliyejulikana kwa jina moja la Sharifu amejikuta katika wakati mgumu kiasi cha kuangua kilio baada ya kutelekezewa kichanga.
Kwa mujibu wa mtoto Sharifu mwenyewe, siku ya tukio, saa nne asubuhi alikuwa akitoka shuleni kwenda nyumbani na ndipo alipokutana na kisanga hicho.
Alisema akiwa hajatembea umbali mrefu kutoka shuleni hapo, mwanamke mmoja akiwa na kichanga mgongoni alimwita na kumwomba amsaidie kumbeba kwa muda yeye anarudi nyumbani kuchukua kitu alichosahau. 
Denti huyo aliongeza kuwa, alikubali ambapo alikaa chini na kumtwaa mtoto huyo kisha kumpakata akiamini muda si mrefu mama mtu angerejea na kumchukua.
Mwanafunzi huyo akasema muda ulipita mama wa mtoto akiwa hajarudi na mbaya zaidi, mtoto huyo alianza kupaza sauti ya kilio kama inavyokuwa kawaida kwa watoto wachanga.
“Nilipoona mtoto analia sana na mama yake hatokei na mimi nikaanza kulia. Ndipo alipotokea mwanafunzi mwenzangu mmoja na kuniuliza kwa nini nalia?  Nikamsimulia yaliyonipata,” alisema Sharifu.
Alisema mwanafunzi huyo alitoa wazo la kumchukua mtoto huyo hadi shuleni ili wakambwage kwa walimu ambao na wao watajua wenyewe pa kumpeleka.
Pale shuleni, walimu waliposimuliwa kisa kizima na Sharifu akichagizwa na mwanafunzi mwenzake huyo, walichukua uamuzi wa kumpeleka mtoto huyo kituo cha polisi ambapo mpaka Jumapili iliyopita mama yake alikuwa hajapatikana.
Mwalimu mmoja wa shule hiyo, Upendo Mwakipunda alikiri kujiri kwa tukio hilo ambapo alisema suala zima kwa sasa liko mikononi mwa polisi
Read more ...

MCHANA WASANII WAKUTWA WAKIFANYA UCHAFU LEADERS CLUB

Dec 11, 2012




Ama kweli mwisho wa dunia umekaribia! Chipukizi wawili wa filamu za Kibongo, Tabasamu Mohamed na Neema Ibrahim, wamekutwa ‘laivu’ wakifanya mambo ya chumbani hadharani.
Read more ...

MKE AMWANGUSHIA MUME KICHAPO KIKALI MARA BAADA YA KUMFUMA NA 'KIMADA'

Dec 10, 2012


Tukio hili la kushangaza limetokea huko Nchini Zimbabwe ambapo mwananume mmoja aliponaswa na kimada ndani ya chumba chake chake cha kulala pale mara baada yaa mkewe kuaga kwenda kuzika!!

Jamaa huyo ambaye alitambulika kwa jina la Leonard Gandaraliamua kumungiza ndani kimada wake huyo ambaye inasemekana walikuwa kwenye uhusiano kwa kipindi kirefu sasa na jambo hilo amekuwa akilifanya mara nyingi na hususani mkewe awapo safarini, Ndipo siku za mwizi zilipotimia siku hiyo mara baada ya mke huyo kuwanasa wagoni hao wakiwa ndani huku wakiendelea kujivinjari.

Mgoni wa kike aliytambulika kwa jina la Memory Mupindu aliainishaa kwamba Leonard alimdanganya kuwa yeye yupo Single na kwamba kitendo cha kumpeleka Nyumbani kwake ni ahadi ya muda mrefu ambayo alikuwa akimuahidi.

Mke wa Leornad alionekana kushikwa na Hasira na kuanza kuwaangushia vichapo vya mbwa mwizi wagoni hao na kudai Talaka yake kwani hawezi tena kuvumilia Aibu nzito kama hiyo ambayo amemletea Mumewe huyo...

Read more ...

RAY C AMSHUKURU RAIS KIKWETE KWA MSAADA WA MATIBABU ALIYOMPATIA...!!!

Dec 10, 2012

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila 'RAY C' akimshukuru Rais Kikwete kwa msaada wa matibabu aliompatia ikulu jijini Dar es Salaam leo. 
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Ray C watu kushoto,Mama yake mzazi Ray C Bibi Margareth Mtweve (kushoto) na kulia ni Sarah Mtweve Dada yake Ray C.
---
Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Rehema Chalamila maarufu kama RAY C leo amemtembelea Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dare s Salaam na kumshukuru kwa msaada wa matibabu wakati alipokuwa mgonjwa hivi karibuni.

Rehema aliyefuatana na Mama yake Mzazi Margareth Mtweve na Dada yake Sarah Mtweve alimweleza Rais kuwa afya yake imeimarika na kwamba muda si mrefu atarejea jukwaani kukonga nyoyo za mashabiki wake.Kwa apande wake ,Mama Mzazi wa Ray C amemshukuru Rais Kikwete kwa kuokoa maisha ya mwanaye na vilevile ametoa wito kwa watu wanaokusanya michango kwaajili ya mwanaye waache kufanya hivyo kwani matibabu ya Ray C yamegharamiwa na Rais
Read more ...

HUYU NDIYE AFSA USALAMA MSTAAFU ALIYEUAWA KWA KUKATWA MAPANGA

Dec 9, 2012

MAREHEMU JOSEPH MWASOKWA AMEUWAWA JANA USIKU MAJIRA YA SAA MBILI NA NUSU USIKU NJE YA NYUMBA YAKE
MZEE JOSEPH MWASOKWA AKIWA NARAFIKI YAKE NA NDIYO WALIOKUWAWOTE JANA USIKU WAKITOKEA KUANGALIA MECHI ZA BARA LA ULAYA WAKAAGANA VIZURI TU NA MZEE MWASOKWA AKAWA ANAELEKEA KWAKE NA NDIKO MAUTI YALIMKUTA KWA KUKATWA NA MAPANGA
JUU NA CHINI HAPA NDIPO WALIPOMUULIA MZEE MWASOKWA NJE YA NYUMBA YAKE JANA USIKU
 MPOKI MTOTO WA MAREHEMU YEYE NDIO ALIKUWA WA KWANZA KUUONA MWILI WA BABA YAKE HAPO NJE ASUBUHI YA LEO
MHESHIMIWA MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI NAE ALIKUWEPO HAPO MSIBANI KUWAFARIJI WAFIWA AMESEMA AMESIKITISHWA SANA NA KIFO CHA WAJINA WAKE MZEE MWASOKWA YEYE HANA LA KUSEMA ZAIDI KAZI TUWAACHIE WANAUSALAMA WAFANYE KAZI YAO
ADRIAN MAGEMBE MWENYEKITI WA MTAA WA BLOCK T ALIKOKUWA ANAISHI MAREHEMU AKITUELEZEA JINSI ALIVYOPATA TAARIFA YA MSIBA WA RAFIKI YAKE MPENDWA AMESEMA MZEE MWASOKWA ALIKUWA KIPENZI CHA WENGI KATIKA ENEO HILO LA BLOCK T ANASHINDWA KUELEWA HAWA WATU WALIOMUUA WALIKUWA NA KISA GANI MAANA VITU VYOLE WALIMKUTANAVYO KAMA SIMU POCHI NA VITU VINGINE WAUAJI HAWAKUONDOKA NA KITU CHOCHOTE
Read more ...

MWANAFUNZI KUTOKANA NA POMBE ZA BURE ANUSURIKA KUBAKWA ABEBWA HUKU HAJITAMBUI

Dec 9, 2012
Katika kuizunguka dunia nashukuru nimetembelea nchi nyingi duniani ikiwa barani Afrika na kwengineko ambako nimejaaliwa kutembelea.Nimekuwa najifunza kila kukicha jinsi watu wanavyoishi na mazingira kwa ujumla.

Kati ya nchi saba za Afrika nilizobahatika kutembelea moja ya nchi ambazo naweza kusema watoto wadogo walio na chini ya miaka 16 wamekuwa wakijihusishaa na masuala ya vilevi kama Pombe,Bangi na madawa ya kisasa ya kilevi `Drugs` ni nchi ya South Africa.South Afrika ni moja ya nchi ambazo zimepiga hatua kimaendeleo kati ya nchi nyingine za Afrika.Tatizo linakuja pale wenzetu wanavyoutumia uhuru wa malezi vibaya. 

Nikizungumzia malezi nazungumzia makuzi ya watoto na wazazi wao.Ndugu zetu wa South Afrika wametoa uhuru kwa watoto wao vibaya sana tofauti na mila na tamaduni za makabila au nchi nyinginezo barani Afrika.Nchini South Africa kumuona mtoto wa kike anavuta bangi ni jambo la kawaida,kuwaona wanafunzi wakiwa na pombe ni kitu cha kawaida tofauti na kwengineko barani Afrika.

 Suala zima la uhuru kwa watoto lisipotiliwa mkazo na kipaumbele tutakosa wataalamu wazuri duniani,totakosa taifa bora lenye upeo mzuri kimaendeleo,na hii sio tu kwa South Afrika bali na kwengineko duniani.Malezi bora kwa watoto ni jukumu la mzazi na mtu yoyote mwenye kuelewa umuhimu wa ulezi.Nasema hivi nikiwa na maana nyingi ila mojawapo ni kwamba anapoathirika mtoto wa mwenzio kumbuka hata wewe athari hizo zitakuathiri na wewe kwa njia nyinginezo.

Picha ya juu ukiangalia vyema utaona jinsi gani wanafunzi walivyoshiriki katika suala la ulevi na kinachofuata hapo ni ngono zembe,kubakwa pasipo kutarajia,maambukizi ya ukimwi na magonjwa mengineyo ya zinaa.

 Mwanafunzi mlevi kwa asilimia kubwa hana muelekeo mzuri katika masomo yake.Wazazi chonde chonde tuwaangalie watoto wetu ili kulinusuru Taifa letu
Read more ...

MTOTO WA KIKE WA KIBONGO ANATAMANI KUVAA HIVII

Dec 9, 2012
WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIEL

SALMA JABU NISHA

LULU

JACLINE WOLPER

JOCATE KIDOTI

KIDOTI

AUNT EZEKIEL
IRENE UWOYA UPANDE WA KUSHOTO
Read more ...

WATOTO FASION YAFANYIKA

Dec 9, 2012
CUTE

DUUH



LOVELY

FANYA MWANAO APENDEZE WAKATI WOTE 
Read more ...