Pages

BAADA YA NOMINATION ZA GRANDMALT KUISHA KESHO MPANGO MZIMA UTAKUWA KAMA HIVI

May 31, 2012
Logo


  • HUU NI MFANO WA CHUO CHA SUA BAADA YA NOMINATION

Read more ...

BAADA YA MTAJI, SASA DOGO ASLAY ANAMJENGEA MAMA NYUMBA

May 31, 2012
Dogo Asley November mwaka jana alimpa mama yake mtaji wa laki tano kwa ajili ya kufanya biashara, leo ametangaza good news nyingine kuhusu kuwasaidia wazazi wake ambao maisha yao yamebadilika kwa kiasi kikubwa baada ya kupewa mitaji ambayo wameweza kuiendeleza vizuri mpaka sasa.
Alichokitangaza leo Dogo Aslay mwenye umri wa miaka 16 ambae muziki pekee ndio unaompa hela, ni kuhusu kuwasaidia wazazi wake kujenga nyumba kwenye kiwanja ambacho kilinunuliwa na mama yake mzazi Gongo la Mboto Dar es salaam miaka kadhaa iliyopita, ametoa zaidi ya laki saba Mwaka huu kuifikisha nyumba mpaka kwenye madirisha na anachotaka ni kumaliza kuijenga ndani ya muda mfupi sana ujaoHiki sio kitu cha kawaida, dogo Asley amekua mtoto wa kwanza Tanzania mimi kumsikia akiwa na umri mdogo kama huo lakini katoa kiwango kiwango kikubwa cha pesa kama hicho kumjengea mama yake nyumba.
skiliza track yake mpya hapo chini


Read more ...

DIAMOND ASEMA ALICHOKIPATA BAADA YA KUPERFORM BIG BROTHER AFRICA

May 31, 2012
Siku nne baada ya kuperform kwenye shindano la Big Brother Afrika, staa wa muziki Tanzania ambae ndio anaongoza kwa kupiga showz nyingi na zenye hela ndefu, Diamond Platnums amesema baada ya performance yake kuonekana tayari tayari milango mingine ya mafanikio imefunguka
Amesema ;nimepata vitu vingi, imenitengenezea mwanya wa kukubalika sana na karibu media zote za kule nimepata nafasi ya kusain karatasi kwenye baraza la sanaa Afrika kusini ambapo sasa radio zitaanza kucheza nyimbo zangu na nitakua nalipwa wakizipiga, nimepata connection ya kufahamiana na wasanii wakubwa wakubwa wa Afrika ambapo mda sio mrefu nitafanya nao kazi
Kwenye sentensi nyingine Diamond amesema Nimewapa album yangu ya kwanza na nyimbo zangu nyingine ambazo nimeshaziachia, nimetafutwa na watu wa media za Nigeria, Namibia na kwingine ambao walitaka niwape kazi zangu, hiyo ni baada ya kuperform kwenye show ya Big Brother japo kabla hawakudhani kama ningeweza kufanya hivyo ; na kuna vitu vingine ambavyo nimevipata na sijaruhusiwa bado kuvizungumza ila nitavizungumza na watu wanaweza wasiamini kwamba vimetokana na show yangu BBA

Bab Tale ambae ni Meneja wa kundi la Tip Top Connection alieongozana na Diamond kwenda   Afrika Kusini amesema kwa mara ya kwanza kwenye historia ya shindano la Big Bro, kwenye show ya Diamond mmoja wa mashabiki waliopagawa ndio alipanda kwenye stage na kwenda kucheza kitu ambacho huwa hakiruhusiwi, ni masharti ambayo huwa wanapewamashabiki wote wanaokwenda kutazama show, hivyo baada ya huyo mmoja kuvunja sheria, alitolewa nje.
Tale amesema toka walipotoka bongo walipitia Nairobi na hakuna mtu aliewashangaa, yani mpaka Tale akawa anajiuliza moyoni mbona watu hata hawashtuki, walipofika pia South Afrika hakuna aliewashangaa hata walipokua wanaanza mazoezi watu waliowapokea walikua wanamchukulia poa Diamond lakini alipoanza mazoezi wakajua jamaa mkali,.
Read more ...

WASAMARIA WEMA TWAOMBWA KUMNUSURU MTOTO HUYU ANAYETAABIKA KWA KUWA NA MATUNDU MATATU KWENYE MOYO

May 31, 2012

Pichani mtoto Neema George aliyegundulika kuwa na matundu matatu kwenye moyo.
Mtoto Neema George (16) amewaomba wasamaria wema wajitokeze kumchangia fedha ili akapate matibabu ya moyo nchini India.

Hali ya Neema George inazidi kuzorota siku baada ya siku, miguu ikiwa imevimba, akitaabika katika suala la kula, kuongea na akipata maumivu makali ya tumbo hasa nyakati za usiku

Baba mzazi wa Neema, George Mugunga (kushoto);anasema kuwa mnamo mwaka 2010 mara baada ya hali ya mtoto wake kuzorota alimfikisha katika hospitali ya Rufaa Bugando kwaajili ya matibabu, lakini mara baada ya vipimo kufanyika vikaonyesha kuwa moyo wa mtoto wake una matundu matatu.

Baadhi ya vithibitisho vya tiba
adaktari kupitia kliniki aliyokuwa akipata huduma (Bugando) wamesema kuwa tatizo la neema ni kubwa na haliwezi kupatiwa ufumbuzi hapa nchini bali linaweza kupata tiba Nchini India kwa makadirio ya gharama ya shilingi za kitanzania milioni 25.

Baba wa mtoto huyo aitwaye George Lenatus Mugunga amewaomba wasamaria wema, makampuni, wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyabiashara na watu binafsi walioguswa na tatizo la mtoto Neema, kuwasiliana naye kupitia namba za simu ya kiganjani 0755424086 au kufika Ofisi za mkuu wa mkoa wa Mwanza ili kupata utaratibu wa kufikisha msaada huo haraka iwezekanavyo


habari hii chanzo ni michuzi blog na gsengo blog
Read more ...
May 31, 2012

Read more ...
May 31, 2012
Read more ...

TAIFA STARS WAONDOKA JIJINI DAR ALFAJIRI YA LEO

May 31, 2012

Wachezaji wa Kilimanjaro Taifa Stars wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) alfajiri ya leo kuelekea jijini Abidjan kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Ivory Coast ya kutafuta tiketi ya kucheza Kombe la Dunia. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Jumamosi Juni 2




Read more ...

SHUKRANI TOKA TAWI LA CHADEMA WASHINGTON DC. USA

May 31, 2012

Kwa niaba ya uongozi wa tawi la CHADEMA Washington DC. napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu wote walio hudhuria ufunguzi wa tawi la CHADEMA uliofanyika Tarehe 27 May 2012 Washington DC nchini Marekani katika ukumbi wa Mirage Maryland.Aidha nawashukuru wageni waalikwa, Naibu katibu mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Kabwe, Mbunge wa Viti maalum kutokea Jimbo la Kwimba Mama Leticia Nyerere, Mbunge wa Iringa mjini Mh. Peter Msigwa, Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassari na Mbunge wa Viti maalum kutokea Zanzibar Mh. Mariam Msabaha kwa kutumia muda wao wa thamani kukaa na watanzania tuishio Marekani kubadirishana mawazo na kutuelezea mstakabari wa nchi yetu (Mama Tanzania) kijamii, kiuchumi na kisiasa.


Mwisho napenda kuwashukuru watanzania wote walio hudhuria mkutano huu. Kwa kweli tumefarijika sana kuona utayari wa mioyo yenu kutaka mabadiliko (M4C) na uwazi wa kujielezea mawazo yenu bila kua na hofu
Read more ...

CHADEMA IKIKONGA NYOYO ZA WANA WA MTWARA

May 30, 2012









Read more ...

PHILIPO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA CHU KIKUU BUGANDO

May 30, 2012
Aliyekuwa raisi wa chuo kikuu bugando philipo katika picha hapo juu ameamua kuchukua fom ya kugombea uraisi wa chuo kwa mara ya pili ,katika
Read more ...

HOSPITALI YA TUMBI YAANZA KUPOKEA MSAADA WA MASHUKA

May 30, 2012

PICHANI: Afisa Uhusiano wa Maxinsure akiongea na waandishi wa habari walipoenda kukabidhi misaada katika hospitali ya Tumbi, kushoto kwake ni Mganga mkuu wa Hospitali ya Tumbi Dk. Issac Lwari.

Afisa Uhusiano wa Maxinsure akionyesha mashuka alioyakabithi katika hosptali ya Tumbi hivi karibuni.

Meneja Madai wa Kampuni ya Maxinsure ,Bw. Ian Kifunta akishikilia mashuka ya msaada wakati walipokua wanatembelea hospitali ya Tumbi hivi karibuni.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Tumbi Dk Issach Lwari akiwaonyesha wafanyakazi wa Maxinsure mashine mbovu,iliyokua ikinyooshea nguo za hospitalini hapo.

Hospitali ya Tumbi ya mjini kibaha yapokea msaada wa mashuka 50 yenye thamani ya shillingi za kitanzania 500,000 kutoka katika kampuni ya Bima ya Maxinsure hivi karibuni, Msaada huo ukiwa umetokana na na taaarifa iliyotoka katika gazeti maarufu moja nchini,likiwa linaelezea kuhusu upungufu wa mashuka katika hospitali hiyo.
Kampuni ya Maxinsure ndio imekua kampuni ya kwanza kabisa nchini kuitikia wito huo, huku Bima kuu ya Afya ya nchini ikihahidi kutoa mashuka pia hivi karibuni.
“Tunashukuru sana kampuni ya Maxinsure kwa kuguswa na tatizo letu,tunategemea kupata mashuka zaidi na tunaomba makampuni mengine yaweze kujitokeza kutusaidia, kwani hili sio tatizo pekee linaloikabili hospitali yetu”.Alisema Mganga mkuu wa hospitali ya Tumbi,Dk.Issach Lwari akishukuru kwa msaada alioupokea
Kwasasa Hospitali ya Tumbi ina mashuka yapatayo 900 huku ikiwa bado na uhitaji wa mashuka yasiopungua 1,124.
DK. Lwari alitaja matatizo mengine kama ,mashine za kufulia, upungufu wa damu na pia hospitali iyo inakabiliwa na ukosefu wa Vipimo mbalimbali ,swala linalopelekea kuwashauri wagonjwa wachukue vipimo katika hospitali nyingine.
Read more ...

Charles Taylor asukumwa jela miaka 50

May 30, 2012







Rais wa zamani nchini Liberia Charles Taylor amehukumiwa miaka 50m jela na makahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita. Mwezi jana Taylor alipatikana na makosa ya kuwaunga mkono waasi nchini Sierra Leone katika vita vya wenyewe kwa wenyewe
Read more ...

PINI JIPYA LA HUSSEN MACHOZI

May 30, 2012
Read more ...

KAMA ULIJUA BADO KASSIM MGANGA HAPATANI NA TIP TOP, HII STORI INAKUHUSU

May 29, 2012







Pamoja na kwamba picha mitaani bado inaonekana mwimbaji Kassim Mganga hayuko kwenye uhusiano mzuri hata wa kirafiki na kundi lake la zamani la Tip Top Connection kwa sababu hajawahi kuonekana nao pamoja kwenye showz, Night Clubs hata kwenye mazingira mengine kama wanavyofanya wengine waliojiondoa kwenye kundi hilo, nimefurahi kuona Kassim Mganga amekubali kufungua kinywa chake kuondoa hiyo picha mbovu kwenye fikra za watu Kassim amesema ;huu ni mwaka wa pili toka nimetoka Tip Top na kuingia Manzabay, hakuna tofauti yeyote mi naona bado wale ni ndugu zangu tumefanya vitu vingi na tumetunziana siri nyingi sana, Madee tunawasiliana kila siku na tunakutana hata Deso pia Kwenye sentensi nyingine Kassim amesema ;Babtale pia napiga nae sana mazoezi kila asubuhi Mwembe Chai pale, unajua watu walio nje kuna vitu vingine hawavioni lakini wao wanavijengea picha kwa hiyo inabidi waelewe hivyo kwamba Tip Top bado ni familia yangu, naweza kumfata Meneja Tale hata leo nikamuomba msaada wowote na naamini hawezi kukataa kwa sababu binadamu nyuso zimeumbwa na haya tumefanya vingi
Read more ...

BAADA YA KUBWAGANA NA DIAMOND SASAWEMA AVISHWA PETE YA UCHUMBA NA MWINYI WA MACHOZI BAND

May 29, 2012


Wema akikaribishwa kuja kuvishwa pete na Mwinyi ambae amecheza kama Diamond Platnums.
Mwigizaji Wema Sepetu bado anaendelea kuishoot movie yake ya kwanza iitwayo SUPER STAR ambayo inahusiana na maisha yake kwa asilimia kubwa sana, ikiwa ni movie ambayo itaonyesha vitu vingi alivyovipitia kwenye umaarufu wakeUsiku wa May 29 kuamkia may 30 2012 saa nane na dakika kumi ndani ya Maisha Club Dar es salaam, Wema alivishwa pete na mwimbaji Mwinyi wa Machozi Band ambae kwenye hiyo movie yeye atazicheza nafasi zote za Mwimbaji Diamond Platnums aliyewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Wema Sepetu, Mwinyi amecheza kama Diamond ambae pia alimvisha Wema pete ya uchumba hapohapo Maisha Club.




Mwinyi alisema huyu ndio mwanamke nilietulia nae baada ya kuzunguka huko kote na nahitaji awe wangu wa maisha, ni maneno ambayo Diamond aliyasema siku ya kumvisha Wema Pete.







stori hii ni kwa hisani ya Amplifaya ya clouds Fm kutoka millardayo.com
Read more ...

SPECIAL OFFER FOR OUR USER

May 29, 2012





Kuanzia tarehe 30/05/2012 hadi tarehe 15/06/2012 tunakupa offa ya kukutangazia biashara yoyote au bidhaa yoyote ile bureeeeeee /= hii ni kutokana na kuadhimisha mwaka mmoja wa blog hii .wasiliana nasi kwa namba 0759212578 au sadru12@gmail.com
Read more ...

Cynthia Nixon ties the knot

May 29, 2012


Cynthia Nixon has married her long-term partner.

The actress and Christine Marinoni tied the knot in New York City yesterday, three years after getting engaged. Cynthia and Christine have been together since 2004 and became betrothed at a rally to support same-sex nuptials in 2009.

Their big day comes less than a year after gay marriage became legal in the American state.

"On May 27, 2012, Cynthia Nixon and her girlfriend, Christine Marinoni, were legally married in the state of New York," her rep told US publication People in a statement. "Nixon wore a custom dress by Carolina Herrera."

In February last year, Christine gave birth to their son Max Ellington.

Cynthia also has two children with her former partner Danny Mozes.

The Sex and the City star previously revealed her and Christine were going to have a long engagement because they wanted to wait until gay marriage was legalised in their hometown of New York.

"I'm enjoying being engaged very much," Nixon said in 2010. "I don't mind a long engagement, which this one is surely turning out to be." 
Read more ...

ITS A INTERNET DEAL

May 29, 2012
Add caption

UNLIMITED INTERNET 30000/ USE IT FOREVER
MORE INFO CALL US NOW 0759212578 TO GET IT
Read more ...

NOKIA C5 INAUZWA

May 29, 2012


KAMA UNAIHITAJI WASILIANA NASI KUPITIA 0759212578
Read more ...

NILIZOZIONA FACEBOOK

May 29, 2012
Ukiletewa spinach usikatae kupokea


                                                   shangaa feli 
chezea katambuga weweee


mwisho wa siku NECTA itadetermine

Read more ...

Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Ruvuma zaendelea

May 29, 2012

Afisa Tawala wa Wilaya ya Nyasa,Hapiness Msanga (kushoto) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma,Idd Mponda kwa ajili ya kukimbizwa katika wilaya hiyo

Wakimbiza mwenge wa uhuru wakicheza baada ya kumaliza mbio za mwenge katika Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma katika viwanja vya michezo vya Mbambabay.kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga,Idd mponda.Picha na Muhidin Amri




Read more ...

SPRITE YADHAMINI KLINIKI YA KIKAPU JIJINI DAR

May 29, 2012

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu na anyechezea ligi ya NBA ya Marekani , Hasheem Thabeet akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu kliniki ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Sprite itakayofanyika katika viwanja vya Don Bosco, Upanga Dar es Salaam kuanzia Ijumaa Juni Mosi 2012.




Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) Michael Maluwe akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani)kuhusu ya kliniki ya vijanai chini ya umri wa miaka 17 itakayofanyika katika viwanja vya Don Bosco, Upanga jijini Dar es Salaam kuanzia Ijumaa Juni Mosi mwaka huu. Kliniki hiyo imedhaminiwa na Kampuni ya Coca-Cola kupitia kinywaji cha Sprite. Katikati ni mchezaji wa Ligi maarufu duniani ya NBA Hasheem Thabeet na kulia ni Meneja Bidhaa Msaidizi wa Coca-Cola Tanzania Warda Kimaro

Read more ...

FACEBOOK YAPELEKEA KUPOTEA KWA MWANAFUNZI WA SAUT

May 29, 2012

Hivi punde zimetufikia habari kuwa FACEBOOK imepelekea mrembo mmoja wa anayesoma kozi ya ualimu SAUT kupotea katika mazingira ya kutatanisha.
stori iko hivi

kwa jinsi ilivyo ni kwamba dem huyo alikuwa na urafiki na mshikaji mmoja wa hivi wa kenya then wakaanzisha mahusiano ambapo ikabidi sasa mshikaji ajet MWANZA ili waonane na huyo dem .dem akaelekezwa na mshikaji wakutane hotel moja maarufu mjini hapa mwanza.baada ya hapo 
wakakubaliana wadate usiku huo mara mshikaji kuchojoa dem akaona kama mchiz ameoza kinyama ,dem akataka akimbie mshikaji akamwambia atamshoot mara dem akafanikiwa kuponyoka na kurudi hostel alipofika hostel akamsimulia room mate wake mara muda si mrefu naye dem akaanza kuoza ndipo ikabidi wampandishe mwisho wa nyodo BUGANDO HOSPITALwakati wanamkimbiza kuja hospitali katika tax yenye namba T 445 BBA   Dem huyo alipotelea kimazingara na kuwaacha wenzake mdomo wazi hadi hivi sasa dem huyo bado hajapatikana stori zaidi tutakuletea yapi yanaendelea






michakato na ku
Read more ...

MAMA EDOO AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI

May 28, 2012
Mama edo amefiwa na baba yake  mzazi ambapo marehemu ameacha wajane wanne ,watoto 20 na wajukuu lukuki

kamera yetu iliweza kupenyeza had wakati mama akisubiri muda ufike wa kwenda ukerewe mazishini


 na hawa ni baadhi ya watoto wa mama edy 
hawa ni waju

                            wakati huo tukisubiri muda wa meli kuondoa nanga tayari kuelekea nansio ukerewe




                             jeneza lenye mwili wa marehemu


Read more ...

ujenzi wa nguvy waendelea bugando

May 28, 2012
Ikiwa ni zaidi ya miaka 12 tangu chu kikuu bugando kianzishe hivi sasa chuo hiki kimeanza upanuzi wa chuo hicho na hapa ni ujenzi wa majengo yatakayotumika kama madarasa na library 


                                                     ujenzi ukiendelea






                       matengenezo ya sewage system
Read more ...