Pages

SPECIAL KWA CUHAS MEMBER:HII NITAARIFA MAALUM KUTOKA KWA MUSSA MDEDE INAKUHUSU WEWE KAMA MWANA CUHAS BUGANDO

Aug 23, 2013
Hii ni taarifa maalum iliyotolewa na rasi mdede ikufikie wewe kama mwana CUHHAS kuhusiana na masuala mbalimbali ya chuo ikiwemo na mfumo mpya wa ukokotozi wa GPA ,Kuahirishwa kwa kikao cha senate kilichotakiwa kufanyika mwezi huu ambacho ilikua inabidi mambo ya ada na mengine kibao kujadiliwa hivyo basi kikao hicho kimesongezwa mbele hadi tarehe 4 mwezi wa 9.hivyo mdede ametoa angalizo kua isitokee mwana cuhas kulipa ada kwa sasa mpaka hapo taarifa kamili na ni kiasi gani cha kulipa itakapotolewa .mengine ni kuhusiana na overall ya matokeo ya MD5.kwa haya na mengine mengi ebu download interview hii na unaweza mtu mia mwenzako kupitia watsup maana tumeifanya iwe yenye MB chache sana .au waweza share stori hii kwa facebook au twitter.


Read more ...

BREAKING NEWZ:UWANJA WA NDEGE WA KENYA WALIPUKA MOTO ASUBUHI HII HALI YA TAHARUKI YATAWALA

Aug 6, 2013


Reports are coming in through the Kenya Red Cross, the country’s foremost emergency response organization, that a major fire is raging at Jomo Kenyatta International Airport. Courtesy of twitter picture via this tweet: ‘FIRE reported at Jomo Kenyatta International Airport #Nairobi via #iVolunteer @decibyte ^PO’ this is the first available image of the raging inferno, which seems to have fully engulfed one of the main buildings.

Stand by for more reports and updates in due course.

The latest update at 06.17 hrs speaks of the main arrival building, at least the upper floors, being completely engulfed in a major fire and the arrival hall and immigration area has been cleared of passengers while those outside the main arrival hall, beyond customs check points, too has been cleared of people and cars normally waiting there. Parked cars should be removed to make way for fire brigade units coming from the city too.

UPDATE: 0617 hours EAT
The latest update at 0617 hours speaks of the main arrival building, at least the upper floors, being completely engulfed in a major fire and the arrival hall and immigration area has been cleared of passengers while those outside the main arrival call, beyond customs, has also been cleared of people and cars normally waiting there. Parked cars should be removed to make way for fire brigade units coming from the city, too.

UPDATE: 0634 hours EAT
Kenya Airport Authority Statement:

We confirm reports of a fire at JKIA affecting part of the International Arrivals building and Unit 1 departures. The KAA Fire and Rescue Team is on the ground being assisted by G4S and the Nairobi Fire Brigade. Passengers have been evacuated to safety.

This correspondent also urges to refrain from any speculation over the cause of the fire, which will no doubt be fully investigated.
At present there is NO information about any injuries or loss of life.

UPDATE: 0648 hours EAT
Reliable sources from JKIA now speak of a development just taking place at JKIA, that access to the airport has been closed for passengers trying to depart on morning flights, domestic, regional and international, to allow additional firefighting services from the Kenya Army, the National Youth Service, and other government organizations priority access to the arrival/departure buildings as the sheer size of the blaze requires additional resources.

Unit One departures according to some reports is also affected.

Still no reports of injuries or loss of life.

Passengers should be aware that their departure may be delayed considerably until the blaze has been brought under full control and no more danger exists for travelers and staff working at JKIA.

And just in, news that inbound flights may have to be diverted to avoid passengers piling up at JKIA and authorities being unable to process them into the country.


UPDATE: 0725 hours EAT
It has now been confirmed that parked aircraft near the terminal have been towed away to a safe distance and that equipment like high loaders, movable stairs, and vehicles have also been taken away from the apron area just outside Terminal 3, 2, and 1.

Incoming flights are being diverted to Mombasa, Eldoret, Entebbe, Kilimanjaro International, and Dar es Salaam.

Due to the major airline offices located in the affected area, there is no landline communication possible right now, and unless mobile numbers of airline staff at the JKIA station are available, authoritative statements about where respective flights have been diverted to can only be obtained through the airline city offices in due course.


Major fire reported from JKIA in Nairobi | Wolfganghthome's Blog

==============

Capital FM reports: http://www.capitalfm.co.ke/news/2013...-jkia-on-fire/
Read more ...

CHADEMA HOI MBEYA MJINI, CCM YAZOA 365 KWA MPIGO

Aug 6, 2013


MBEYA, Tanzania
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeisambaratisha ngome ya CHADEMA mjini hapa baada ya wanachama wake 365 wakiongozwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Vijana la chama hicho (BAVICHA), Frank Fumpa.

Wanachama hao walipokewa na Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM , Abdallah Bulembo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Nzovwe Sokoni mjini hapa.

Wengine waliohamia CCM na kurejesha kadi zao kwa Bulembo wakati wa mkutano huo ni wapiga debe maarufu wa chama hicho mjini hapa, Alex Mwaisango na Ambundwile Mwantondo.

Wanachama hao wa CHADEMA waliohamia CCM wakati wa mkutano huo na kupokewa na Bulembo ni miongoni mwa wanachama 375 kutoka vyama vya upinzani wakiwemo wanne kutoka CUF na sita kutoka TLP.

Katika mkutano huo pia Bulembo alikabidhi kadi kwa wanachama wapya wa CCM 279 wakiwemo vijana 15 waendesha pikipiki (Bodaboda), Umoja wa Wazazi Tanzania 15 na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wanachama 15.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake sababu za kuodoka CHADEMA na kuhamia CCM, Fumpa alisema baada ya kutafakari kwa kina kwa muda mrefu walipokuwa ndani ya chama hicho wamegundua hakina mpango wa kuwatetea na kuwaletea maendeleo Watanzania zaidi ya kupanikiza chuki na uhasaba kwa wananchi dhidi ya serikali yao.

Fumpa alisema wakiwa ndani ya chama hicho wameshuhudia mengi ikiwemo msimamo wa viongozi wa chama hicho wa kuwatumia wanachama hususan vijana wa chama hicho kuongoza vurugu na kutokana na vurugu hizo katika baadhi ya maeneo zimesababisha vifo vya watu wasio na hatia.

Alisema wameamua kurejea CCM kwa umamuzi wao bila kushawishiwa na yeyote baada ya kubaini wanapoteza muda mure wa kushiriiana na Watanzania wengine kuharakisha maendeleo yao na kuwashauri warejee CCM kwenye matumaini ya kweli ya ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili.

"Zipo kauli za baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wanapowaona wenzao wameamua kurudi nyumbani CCM kuwa wamenunuliwa au kuahidiwa vitu fulani, tuwahakikishie wananchi wenzetu kuwa tumeamua kurejea kwa baba na mama kwa hiari yetu bila kushawishiwa nanyi njooni nyumbani tujenge taifa letu", alisema Fumpa.

Akihutubia mkutano huo, Bulembo aliwataka wananchi wa Jimbo la Mbeya mjini kujutia uamuzi wao waliouchukua mwaka 2010 wa kumchaguae Joseph Mbilinyi 'Sugu'wa CHADEMA kuwa Mbunge wao kwa kutorudia kosa hilo katika uchaguzi mkuu mwaka 2015.

"Ndugu zangu kufanya kosa si kosa kosa ni kurudia kosa, mwaka 2010 mlimchagua Sugu wa CHADEMA kuwa Mbunge wenu, lakini hawasaidii kuleta maendeleo yenu zaidi ya kuipinga serikali ya CCM kuleta maendeleo, hivyo msirudie kosa hilo katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu mwaka 2015", alisema Bulembo.

Bulembo aliyeko katika ziara ya kukagua, kuhimiza uhai wa Chama na jumuia zake, kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mkoani hapa alisema kuchagua upinzani ni kuthoofisha jitihada za serikali ya CCM ya kuharakisha maendeleo yao.

Alisema vyama vya upinzani kikiwemo CHADEMA haitakii mema CCM na vimekuwa vikifanya kila liwezekanalo kuhakikisha ilani ya CCM inayolenga kuondoa kero na changamoto zinazowakabili wananchi haitekelezwi, hivyo kuchagua upinzani ni sawa na kusitisha kwa muda maendeleo yao.

Read more ...

CCM BADO INA IMANI KUBWA NA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA: NAPE

Aug 6, 2013
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) kimesema bado kina imani na Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, katika mchakato unaoendelea wa kupata katiba mpya.

Imesema licha ya CCM kutofautiana kimawazo katika baadhi ya maeneo katika rasimu ya kwanza ya  katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, lakini haina ugomvi na tume hiyo.

Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.

 "Tunawaheshimu sana wajumbe wa tume hii, na kwa kweli tunamatumaini nao sana kuwa watatimiza wajibu wao kwa weledi mkubwa", alisema Nape.

Nape alibainisha kwamba  pamoja na maeneo mengine ya rasimu ya kwanza ya katiba ,  CCM ina mawazo tofauti kwenye suala la Muundo wa Muungano ambapo wakati rasimu inapendekeza muundo wa serikali tatu, CCM yenyewe inapendekeza  serikali mbili.

"Kama mnavyoona katika hili, wakati tume inapendekeza muundo wa serikali tatu sisi CCM tunapendekeza muundo wa serikali mbili, lakini hii haitufanyi tuwapuuze au tugombane na wale wenye mawazo tofauti na yetu", alisema Nape na kuongeza;

"Kumekuwepo na ripoti na makala kadhaa zinazojaribu kuonyesha kama vile kuna mvutano kati ya tume na CCM, au CCM na wengine wenye mawazo tofauti na CCM. Ukweli ni kuwa hali hiyo inayojaribu kujengwa kwa nguvu si ya kweli. Tuache hoja zishindane kwa hoja na nguvu ya hoja ndio iwe msingi wa ushindani".

Nape alitaka ushindani uwe kwenye hoja bila kushutumiana ili jatimaye mawazo ya wengi yasikilizwe na kuzingatiwa.

Alisema, CCM inasisitiza kuwa itaheshimu mawazo ya Watanzania, kwani katiba inayotengenezwa ni ya watanzania wote bila ya kujali itikadi zao.

"Naomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wale wote wanaounga mkono baadhi ya hoja za CCM hasa hoja ya serikali mbili. Tumeshuhudia maoni ya wajumbe wengi wa  mabaraza na wananchi kwa ujumla wakiunga mkono mawazo haya ya CCM ya muundo wa muungano wa serikali mbili na hoja kadhaa zingine", alisema Nape na kuongeza;

"CCM tunapenda kuwashukuru wote. Tujadili kwa kuvumiliana, tukipendana na kuheshimiana. Tanzania yenye neema tele inawezekana".
Read more ...

MAKUNDI MBALI MBALI YA VIJANA MKOA WA MWANZA WASHIRIKI MJADALA WA KATIBA MPYA.com/

Aug 4, 2013
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitoa ufafanuzi wa CCM juu ya Rasimu ya Katiba mpya katika mkutano uliofanyika Mwanza leo na kuwakutanisha vijana wa makundi mbali mbali.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Ndugu Stephen Wasira akifafanua juu ya mstakabali wa vijana katika mchakato wa Katiba mpya.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Dk.Anthony Dialo akichangia mada juu ya umuhimu wa serikali mbili kwa Tanzania.
Mwenyekiti wa Vijana wa CCM Mkoani Mwanza Sixbert Ruben akielezea umuhimu wa vijana wa Mwanza katika kushiriki kwa kwenye mchakato wa Katiba mpya.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM Martin Shigela akifafanua juu ya umuhimu wa vijana katika suala la  Katiba mpya
Sehemu ya Vijana walioshiriki katika  mjadala wa mchakato wa Katiba mpya uliofanyika leo katika ukumbi wa chuo cha mafunzo Benki Kuu mkoani Mwanza ambapo vijana zaidi ya mia sita walihudhuria.Vijana hao ambao wametoka kwenye makundi ya wanafunzi,wamachinga,boda boda na mama lishe.
Read more ...

NAPE AFUTURU NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI KIGOMA MJINI

Aug 3, 2013
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  akifuturu pamoja na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk.Amani Kaborou,Katibu wa CCM Mkoa wa Kigoma Mohamed Nyawenga na Mbunge wa Manyovu Albert Obama.
 Baadhi ya Mabalozi wa nyumba kumi na wakazi wa Kigoma mjini wakifuturu leo 31Julai 2013 katika ofisi za CCM wilaya ya Kigoma Mjini.
 Baadhi ya Mabalozi na wakazi wa Kigoma mjini wakipata futari
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza machache baada ya kufuturu na Mabalozi wa nyumba 10 ambapo alisisitiza Watanzania kutunza amani waliokuwa nayo.
 Sheikh Mustafa Halfan Kiumbe akisema maneno machache kabla ya kumkaribisha Sheikh Mkuu wa Kigoma
 Katibu wa NEC itikadi na Uenezi akishiriki dua iliyoongozwa na Sheikh Hassan Idd Kiburwa leo baada ya kufuturu na mabalozi wa nyumba 10 wa Kigoma mjini.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na baadhi ya mabalozi wa nyumba 10 kutoka Kigoma mjini ambao alifuturu nao pamoja.
Wajumbe wa kamati ya utekelezaji kutoka wilaya ya Kigoma mjini wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kufturu .
Read more ...

NAPE AKUTANA NA MADIWANI NA WAJUMBE WA KAMATI ZA SIASA BUHIGWE NA KIBONDO

Aug 3, 2013
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Ndugu Charles Gishuli .
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madiwani wa CCM na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe.
 Madiwani na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe waliohdhuria kikao kilichoongozwa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Katibu wa NEC Itikadi  na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu alipowasili katika ofisi za CCM wilaya ya Kibondo.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisaini kitabu cha wageni katika za ofisi za CCM wilaya ya Kibondo sanjali na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk.Amani Kaborou.
 Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CCM wilaya ya Kibondo wakiwa wamefurika katika ofisi za wilaya ya Kibondo kumsalimia Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati mkutano na madiwani na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Kibondo.
Read more ...

MBUNGE WA MOROGORO KUSINI AHAMASISHA WANANCHI KATIKA SHUGULI ZA MAENDELEO

Aug 3, 2013

Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Mh Innocent Kalogeris akifyatua matofali jana katika kata ya Kisemo Morogoro vijijini ikiwa ni siku aliyojipangia na wananchi wa jimbo hilo na yeye kama mbunge wao kuhamasishana kujitolea katika shuguli za maendeleo.
Mbunge huyo akionyesha mfano Namna ya kufyatua matifali.
Kata ya kisemo Morogoro vijijini inayoundwa na vijiji vitano navyo ni Nige ,Dabwala.Nige Mashariki,Nige Magharibi Nige Mteremko wamejipanga kufyatua tofali laki moja kwa ajili ya ujenzi wa shule na zahanati
   Mbunge wa Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris akiendelea na shuguli ya kufyatua matolai jimboni kwake akishirikiana na wananchi wa jimbo hilo.
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini  Mh Innocent Kalogeris akiwa na mwenyekiti wa kijiji Mzee Dimoso wakati wa shuguli za kujitolea kijijini hapo 
 Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini  Mh Innocent Kalogeris akiongea na wananchi wa vitongoji vya  Nige ,Dabwala.Nige Mashariki,Nige Magharibi Nige Mteremko  
Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini pamoja na wananchi wa jimbo hilo wakiandaa udongo kwa ajili ya maandalizi ya kufyatua matofali jimboni kwake
Read more ...

PICHA MIA MOJA ZA WASANII WA BONGO FLAVA NA WATANGAZAJI MAARUFU WA BONGO KATIKA FUTARI IKULU NA JAKAYA

Aug 3, 2013



                                    jk na b12

    fetty


dj mully b


inspecta haroon na jafaraee

q chie na babu tale





khassim mganga

mchinvu
benpaul wa pili kutoka kulia


















 mwiba naye alikuepo


































Read more ...