Pages

WAGONI WAFUMWA NA KUSHUSHIWA KICHAPO KIKALI

Jan 9, 2013


wananchi wakiwazonga na kuwapa kichapo

Nitukio la kusikitisha sana..kama unavyoona ni mwanaume mwenye mke na watoto akiwa amefumwa akivunja  amri  ya sita  na mwanamke mwenye familia na watoto....
 WAZINZI WAKIPELEKWA  POLISI.....

Wananchi  wenye  hasira kali  walipa  kichapo  kikali  ili  liwe fundisho  kwa  wengine hapo  mtaani.....

CHANZO NI GUMZO LA JIJI