Pages

DAKITAR FEKI AKAMATWA MUHIMBILI WAGOJWA WALIDHANI NI DAKITARI BINGWA KUMBE NI SONARA

Dec 8, 2014

    SOURCE MILLARDAYO.COM
Moja kati ya matukio yaliyochukua headline ni hili tukio la kukamatwa Daktari feki,Dismas Macha katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) akiwa amevaa sare za kazi kama Daktari ambapo hii inakuwa mara ya pili kukamatwa akiwa anachangisha rambirambi kwa Madaktari akidai kuwa amefiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu na Upasuaji wa Ubongo ya MOI, Dk Othman Wanin Kiloloma amesema; “Tumekuwa tuna tatizo kubwa la kuletewa watu wanaokuja wao na kujitia ni madaktari wakiomba watu pesa, wakiomba waweze kupewa takrima na hata michango mingine na wamefikia hatua sasa ya kuwatapeli hata madaktari wenyewe kwa kuomba michango na vitu vingine
Leo tumewaita Waandishi wa Habari kuwaeleza kisa cha mtu ambee amekuja na kujitia yeye ni Daktari wa sehemu ya taasisi na anaomba michango mbalimbali, na mtu huyu sii mara ya kwanza amekuwa akishikwa Muhimbili sehemu tofauti kwa wakati tofauti kwa hiyo tumewaita ili muweze kumtambulisha kwa jamii asiweze kudanganya watu wengine kwamba yeye ni Daktari”– Dk. Kiloloma.
Mwananchi mmoja ambaye alikuwa mmoja ya watu walishuhudia mtu huyo kukamatwa amesema; “Suala la Madaktari feki tatizo kubwa lililopo sio Madaktari feki kama hivyo kuna Mahakimu feki, Madaktari feki, ukishaona mahali popote anatokea mtu feki ujue kuna maslahi na tatizo kubwa linalojitokeza kwenye Hospitali ni ukifika Madaktari wenyewe halisi wanataka fedha ili wakuhudumie, kwa hiyo yoyote anaweza kujifanya feki kwa maana anakusanya fedha za Watanzania alafu anatoweka kwa hiyo anakuwa amekula fedha…
Read more ...

SABABU KUBWA 4 ZILIMFANYA DAVIDO AMINDI BAADA YA MTANZANIA KUA MSHIDI WA BIGBROTHER 2014

Dec 8, 2014
Read more ...

HAYA NI MAELEZO JINSI YA KUPATA INTERNET ISIYO NA KIKOMO :BOFYA HAPA KUPATA MAELEZO NI RAHISI MNOO

Aug 13, 2014
      
HAYA NI MAELEZO JINSI YA KUJIUNGA NA INTERNET ISIYO NA KIKOMO

1.baada ya kua umedownload hiyo program ya tunnelguru ambayo utaipata hapa
2.sasa iextract kwa kutumia program ya kuanzip kama huna idownload hapa

Pia hakikisha umeistall java 8 kwenye computer yako kama huna idownload hapa
 http://www.oracle.com/technetwork/java/javase/downloads/jre8-downloads-2133155.html

3.baada ya kua umeixtract sasa jaza hicho kiprogram cha tunnek guru kama nilivokunesha hapo chini



kuna suala la ku update tunnelguru namba suala hili kama hilielewi ni kwamba hatua ya kwanza lazima ulog in kwenye acaunt yako kupitia tunnelguru.com the utaona kitu kama hiki
baaada ya hapo ukisha log in utacheki kitu kama hiki
swali ni kwamba je hiyo tunnelguru namba utaipatia wapi?ni kwamba tunnelguru namba utaipata kwa kufanya hivi
bonyeza neno about katika kile kisofware chako cha tunnelguru kama hivi
kisha bonyeza CTR na C so utakua umecopy then unarud hapa kuipest

jinsi ya kuweka vocha

Log in kwenye akaunt yako kama hivi :Then nenda kwenye ki icon kimeandikwa apply vocher then 
then utaingia kwenye hii section
baada ya hapo weka user ID then weka vocha yako 

nadhani maelezo haya yatakusaidia ili uweze kujipatia internet ya kutosheleza mahitaji yako:
wasiliana kupitia
                     0688148836 hii ipo wattsup
0759212578
Read more ...

MAELEZO JINSI YA KUPATA INTERNET BILA KIKOMO

Jun 25, 2014
 BONYEZA HAPO CHINI KUDOWNLOAD HIYO DOCUMENT KWANZA



http://www.scribd.com/doc/231253316/TUNNELGURU-SETTINGSF

MAELEZO ZAIDI NICHEKI 0759212578
Read more ...

TIGO UNLIMITED INTRENET AT ZERO BALANCE

May 17, 2014


Read more ...