Pages

NGOMA KALI NA MPYA

Apr 30, 2012
...
Read more ...

NGOMA MPYA YA NICK MINAJI

Apr 29, 2012
Mpaka naitupia kutoka you tube ilikuwa imetizamwa na watu  3,269,632  icheki kama iko poa basi i likei\\\ ...
Read more ...

the picture of today

Apr 28, 2012
...
Read more ...

kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

Apr 27, 2012
Ni uskikuwa manane kama saa 9 njemba hii iko inasoma kwa bidii lakini kama ijulikanavyo soma kidogo uelewe kukesha ni mbwembwe so anajikuta akiangusha bonge la Usingizi mzito huku mbu wakimtumia kama kitega uchumi ...
Read more ...

NMVUA ILIYONYESHA JIONI HIII MWANZA IMESABABISHA MAAFA YAFUATAYO

Apr 27, 2012
                              HAPA NI MAENEO YA VILLA PARK RESORT HAPA VILLA CLUB KWA MBELE                                              HAPA...
Read more ...

POST TANO ZATOLEWA BURE KATIKA SEMINA YA MAHUSIANO

Apr 27, 2012
TANGAZO KATIKA SEMINA ITAKAYO FANYIKA KESHO JUMA MOSI NA JUMAPILI YA WIKI HII ZIMETOLEWA NAFASI TANO ZA UPENDELEO KWA VIJANA WA TANO ,SEMINA HIYO INAFANYIKA MIDLAND HOTEL MWANZA SAA 4 ASUBUHI HADI SAA 12 JIONI WASILIANA NA MAKURU UJIPATIE TIKET YAKO BUREEEEEEE No 071644244...
Read more ...

NI OMBI LA WADAU WALIO WENGI TUJIKUMBUSHE YA ARUMERU

Apr 27, 2012
...
Read more ...

WIMBO WA CHAMA

Apr 26, 2012
...
Read more ...

BUGANDO WAFUNGWA VIBAYA NA VIJANA WA MJINI(CBE)

Apr 26, 2012
Katika mchezo wa kikapu  ulochezwa hivi leo butimba Tcc vijana wa bugando wamefungwa vikapu 65 kwa 36.ushind huo wa CBE umechangiwa na mashabiki kuwa wengi na hivyo kuwapa hamasa wana wa CBE huku vijana wa bugando wakikosa hamasa kutoka kwa washabiki waiokuwa kiduchu Kingine kilopelekea bugando kushidwa ni kukosa mazoezi ya kutosha...
Read more ...

zilizoziona leo facebuku

Apr 26, 2012
                                mambo ya maksai hayooooo                                               kwenda na wakati Maria...
Read more ...

NI SEMINA KUHUSU MAUSIANO

Apr 25, 2012
SEMINA YA MAHUSIANO ITAFANYIKA KATIKA HOTEL YA MIDLAND SIKU YA JUMAMOSI NA JUMAPILI TAREHE 28 NA 29 APRIL. INAWAHUSU WALIO KATIKA NDOA,VIJANA KWA UJUMLA NA WASIO KATIKA UHUSIANO  KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA  Makuru kama uko Bugando contAact 0716442444 Grace kama uko SAUT mwanza contact 0766462439 Warda juma kama uko CBE...
Read more ...

TAARIFA KWA WANACHUO WOTE WA BUGANDO

Apr 25, 2012
Imesemwa na Dean of student Bugando kuwa katika mwaka wa masomo wa 2012 na 2013 mamb yanaweza kubadilika hususani katika masuala ya Ada na hii ni kutokana na wadhamini kutoa mchando (donatin)kiduchu kwa wanafunzi hivyo kungeza mzigo kwa wanafunzi.Dean ameongeza kwa kusema kuwa direct cost zitaweza kupanda japo haijajulikana ni...
Read more ...
Apr 24, 2012
European Cups - Champions League  22:26April 24    83'Barcelona2 - 1Chelsea...
Read more ...

NILIZO ZIKUTA FACEBUK LEO HII

Apr 24, 2012
Add caption Add caption ...
Read more ...

ZUMBA NITAGOMBEA TENA URAISI

Apr 24, 2012
Hayo yamesemwa na aliyekuwa mshindi wa pili katika kinyanganyiro cha kuwania urais wa chuo bugando kuwa mwaka huu atawania nafasi hiyo ya uraisi akiwa amejipanga zaidi .hayo yamesemwa na Zumba wakati alipo hojiana na Blog hii na kuongeza kuwa urasi anauhitaji na mwaka huu ataupata ...
Read more ...

HONGERA DAMIAN SHIGONGO NA SADICK WOTE MD2

Apr 24, 2012
Siku hizi imekuwa ngum kwa masela kuoa au madem kuolewa lakini hali hii imetupwa kule na wadau damian shigongo na Sadiki baada ya kuamua kutupa kule ukapela na kuvuta vyombo(wake )nimeongea nao katika wakati tofauti tofauti wamesema kuwa vijana wengi wamekuwa wakipumzikiana lakini kwao wao wameona ni bora waidhinishw na manani aliye juu...
Read more ...

JINSI MSHIKAJI WA MD 2 ALIVYOPOTEA

Apr 24, 2012
Ikiwa ni kama wiki mbili na siku chache hivi tangu mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili bugando apotee leo hii imebainika kuwa alipotea katika hali ya mazingara ambapo imeskika ikisemwa kuwa kijana yupo salama salmin japo kuwa wataalam wako wanamfanyia marekebisho huko kijini kwao . Blog hii itafanya interview exclusive na kaka mtu ili atupe whaappen...
Read more ...

MATOKEO YALIKUWA HIVI

Apr 23, 2012
PHARMACY NA RADIOLOGY 1----1 RADIOLOGY NA MAABARA 1-----O MD NA RADIOLOGY 0------...
Read more ...

BAADA YA KIFO CHA KANUMBA SASA IMEKUWA ZAMU YA SAJUKI

Apr 22, 2012
Add caption Ikiwa ni siku chache baada ya bongo movie kuondokewa na Kanumba sasa amefuata msanii sajuki ambaye amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa uvimbe tumboni  stori na sababu za kifo chake zitakuijia hivi punde cheki jinsi alivyokuwa akiendelea wakati anaumwa ...
Read more ...

BIBI CHEKA NA KITU KIPYA

Apr 21, 2012
BIBI CHEKA AJA NA RUDI BABA FELLA BAADA ya kutamba na singo yake ‘Ni Wewe’ aliomshirikisha Mh.Tembamsanii kutoka kundi la Mkubwa na Wanawe anayekwenda kwa jina la BibiCheka anatarajiwa kuachia singo yake ya pili inayokwenda kwa jina la‘Rudi Baba Fella’.Akizungumza na mwandishi wa habari hivi karibuni, Bibi Cheka alisemakuwa...
Read more ...

wazazi wakanumba wwaanza kugombania urithi

Apr 21, 2012
Suzy Butondo, Shinyanga na Julieth Kulangwa, Dar WIKI mbili baada ya kifo cha aliyekuwa msanii nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba, wazazi wake; Charles Musekwa Kanumba na Mama yake, Flora Mutegoa ambao hawaishi pamoja, wametofautiana kuhusu suala la mali na mirathi. Juzi, Mzee Kanumba aliibuka na kudai kuwa kuna kundi la watu linalomdanganya mama huyo wa marehemu kwamba linajua zilipo mali za Steven jambo ambalo alisema...
Read more ...

WALIO SIGN VOTE OF NO CONFIDENCE

Apr 20, 2012
Majina ya Wabunge walio-sign Vote of No Confidence hadi sasa hivi1.Rashid Ali Abdallah CUF2.Chiku Aflah Abwao CDM3.Salum Ali Mbarouk CUF4.Salum Khalfam Barwany CUF5.Deo H Filikuchombe- CCM6.Pauline P. Gekul-CDM7. Asaa O Hamad-CUF8.Prof.Kuliyokela Kahigi- CDM9.Naomi M Kaihula – CDM10.Sylvester Kasulumbayi- CDM11. Raya Ibrahim Khamis - CDM12.Mkiwa H. Kiwanga CUF13.Susan L Kiwanga-CDM14.Grace S Kiwelu CDM15. Kombo Khamis...
Read more ...

skiiliza wimbo mpya wa john makini

Apr 20, 2012
...
Read more ...

MD WADROO NA RADIOLOGY

Apr 19, 2012
Katika mechi iliyochezwa katika viwanja  vya nyamagana MD wamedroo na RADIOLOGY huku maudurio yakiwa ni hafifu haijawahi tokea. MD- 0  RADIOLOGY-O                                              KIKOSI CHA MD  ...
Read more ...

MECHI KATI YA OHARMACY NA MAABALA ILIKUWA YA KUFA NA KUPONA

Apr 18, 2012
 MATOKEO YALIKUWA HIVI PHARMACY 1 LAB 1 Katika mechi iliyochezwa katika kiwanja cha nyamagana leo hii vijana wa pahamacy wamechuana na vijana wa maabara na kutoka kwa sare ya  1-1  mechi ilikuwa na mbwembwe za hapa  na pale  wafungaji  pharmacy ni KELVIN  dk 67 maabara ni  ally muhando...
Read more ...