Anasema alivutiwa na uigizaji wa Marehemu Steven Kanumba na kuwa shabiki wake na ndio alikua mwigizaji pekee aliemfahamu kutoka Tanzania ambapo kwa mara ya kwanza alimfahamu Kanumba kupitia Tv ya Africa Magic mwaka jana wakati alipoanza kutumia muda wake mwingi kutazama Tv.
ALICHOSEMA MWAKILISHI WA ZIMBABWE BBA KUHUSU KANUMBA
May 16, 2012
Anasema alivutiwa na uigizaji wa Marehemu Steven Kanumba na kuwa shabiki wake na ndio alikua mwigizaji pekee aliemfahamu kutoka Tanzania ambapo kwa mara ya kwanza alimfahamu Kanumba kupitia Tv ya Africa Magic mwaka jana wakati alipoanza kutumia muda wake mwingi kutazama Tv.