Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
MAANDALIZ YA REDDS MISS KURASINI YANENDELEA KWA KASI
May 22, 2012
Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
kwa hisani
CUHAS BUGANDO
at
01:18


- Two clicks for more privacy: The Facebook Like button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Facebook – see i.not connected to Facebook
- Two clicks for more privacy: The Google+ button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Google – see i.not connected to Google+
- Two clicks for more privacy: The Tweet this button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Twitter – see i.not connected to Twitter