Pages

ANGALIA PICHA;AJALI YAUA WATANO WA FAMILIA MOJA

Dec 8, 2012
Gari aina ya Rav 4 lenye namba za usajili T 770 BNP lililopata ajali eneo la Tanangozi, Iringa lililokua likiendeshwa na Bw. Ezekiel Mwaiteleke (Marehemu) majira ya saa sita na nusu mchana na kusababisha vifo vya watu watano wa familia moja papo hapo jana Desemba 4, mwaka huu.

Gari aina ya Scania lenye namba za usajili T 840 BST likiwa na tela lake lenye namba T 566 BNQ…
Gari aina ya Rav 4 lenye namba za usajili T 770 BNP lililopata ajali eneo la Tanangozi, Iringa lililokua likiendeshwa na Bw. Ezekiel Mwaiteleke (Marehemu) majira ya saa sita na nusu mchana na kusababisha vifo vya watu watano wa familia moja papo hapo jana Desemba 4, mwaka huu.

Gari aina ya Scania lenye namba za usajili T 840 BST likiwa na tela lake lenye namba T 566 BNQ likiwa limegongwa kwa nyuma na Toyota Rav 4 huko Tanangozi, Iringa na kusababisha vifo vya watu watano wa familia moja papo hapo.
Wasamaria wema wakitoa moja ya maiti kutoka katika Toyota Rav 4 baada ya ajali jana. 
 
Baadhi ya akina mama wasamaria wema wa Tanangozi, Iringa wakijaribu kumpepeleka mmoja ya majeruhi wa ajali iliyotokea jana eneo la Tanangozi, Iringa likihusisha Toyota Rav 4 T 770 BMP lililoingia nyuma ya tela lenye namba za usajili T 566 BNQ ambapo watu watano wa familia moja waliokuwa wakitokea Dar kwenda Mbeya walifariki papo hapo.
---