Taifa Stars imewasili Maputo saa 5 asubuhi kwa saa hapa tayari kwa mechi
dhidi ya Msumbiji (The Mambas) na kupokewa Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Maputo na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Balozi Nyandugu
Taifa Stars imewasili Maputo saa 5 asubuhi kwa saa hapa tayari kwa mechi
dhidi ya Msumbiji (The Mambas) na kupokewa Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Maputo na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Balozi Nyandugu