Hii ni moja kati ya ndege zinazomilikiwa na club ya soka ya Congo DRC Tp Mazembe ambayo wanacheza Watanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu, ndege nyingine waliyonayo ndio ilipata ajali ndogo zaidi ya wiki mbili zilizopita na wachezaji wote kunusurika akiwemo Thomas Ulimwengu, ilisumbua wakati wa kupaa ikaingia porini kidogo.
HII NDIO NDEGE NYINGINE YA CLUB YA TP MAZEMBE.
Jul 16, 2012
kwa hisani
CUHAS BUGANDO
at
03:39


- Two clicks for more privacy: The Facebook Like button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Facebook – see i.not connected to Facebook
- Two clicks for more privacy: The Google+ button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Google – see i.not connected to Google+
- Two clicks for more privacy: The Tweet this button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Twitter – see i.not connected to Twitter