![](http://4.bp.blogspot.com/-itpGcJ7o1Bg/UArTUDCvoGI/AAAAAAABYoM/3JbH4T5NhLU/s400/utalii.jpg)
kupoteza uhai wa watu wengi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa katika vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na kutiwa sahihi na Mkurugenzi wa Utawala na Fedha wa Miss Utalii Tanzania, Abubakari Omary Bakari, ilisema shindano hilo limefanyika kimakosa na matokeo yake hayawezi kutambuliwa kwa namna moja ama nyingine.
Alisema uamuzi wa serikali ni wa mwisho, hivyo hawajaunga mkono kufanyika kwa shindano hilo wakati nchi ina majonzi ya kupoteza ndugu na jamaa wao.