Stori mtaani ni kwamba mwimbaji Star Chris Brown ameachana na girlfriend wake aitwae Karrueche na hiyo yote ni kwa sababu ya Drake.
Chris ameshindwa kuvumilia baada ya kugundua kwamba mpenzi wake anawasiliana na adui yake (Drake) ambae zaidi ya siku 30 zilizopita walikua kwenye ugomvi mkubwa uliotokea kwenye club moja ya usiku New York Marekani.
Kingine alichokifanya Chris Brown ni kufuta picha zote alizokua ameziweka Twitter na Instagram akiwa na Karrueche.