katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini
BREAKING NEWZZ;MAELEZO YA KINA KUHUSU TAARIFA ZA WAOMBAJI WA MKOPO WA HESLB KURUDIA UPYA UOMBAJI WA MIKOPO YAO
Jul 30, 2013
katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini
VIDEO ;MDEDE KATIKA INTERVIEW NA MEDIA KUHUSU SAKATA LA KUPANDISWA KWA ADA NA MAMBO KIBAO YA CHUO CHA BUGANDO
Jul 29, 2013
Hii ni video inayoonyesha mussa mdede katika interview kaongelea mambo kibao ikiwemo na msimamo wa serikali ya wanafunzi kuhusu lini na kiasi cha kulipa hiyo ada,vilevile utaskia masuala ya kuhusu mabadiliko ya mfumo wa kulipia bima ya afya na walipofikia katika kufuatilia suala la alied na sakata lao la meals na accomodationpia utaziskia salamu za best wishezi kutoka kwa mdede kwa wale walionaza mitihano yao leo hii .download video hii umjue za mwenzako pia kama vipi shara link hii
MWONEKANO MZURI WA WASHIRIKI KUTOKA TANZANIA WAENDELEA KUWAWEKA BBA WACHEKI KATKA PICHA
Jul 26, 2013
Published on Friday, 26 July 2013 01:22 // BBA
The good looking duo of Feza and Nando has done well to fly the Tanzanian flag high in this season of Big Brother The Chase.
This is the ninth week of the game and both Feza and Nando don’t look like they will be leaving anytime soon.
Nando is the resident bad-boy with a colourful personality, while Feza is as fiery as the bright colours she wears on her hair.
We put together some up close and personal pictures of this fun loving pair for your viewing pleasure. How long would you like to see these two stay in The Chase?
JK AWEKA JIWE LA MSINGI UPANUZI WA UWANJA WA NDEGE BUKOBA..!!
Jul 25, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)