TAYARI MH:BENJAMIN WILLIAM MKAPA KAWASILI MWANZA KWA AJILI YA FUNDRISING YA UJENZI WA JENGO LA CHUO KIKUU CUHAS BUGANDO
Jul 11, 2013
Leo hii tarehe 12/07/2013 kuanzia saa 4 asubuhi katika chuo kikuu cha CUHAS BUGANDO kutakua na event ya kufanya fund rising kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa litakalo gharim shiling bilion 1.3 aidha mida ya jion event itamalizikia Gold crest katika ukumbi wa mwalim nyerere.
kwa taarifa kutoka kwa DVC prof mahalu leo hii shughuli za masomo kwa wanafunzi zitasitishwa ili kuwapa fursa watumish na wanafunzi wa CUHAS kushiriki katika hafla hiyo
SISI kama BUGANDO BLOG tutakua katika viwanja vyote vya bugando na mwisho jioni tutakua katika ukumbi wa GOLD CREST kuhakikisha tunakupa kila kitu wewe mwana cuhas
ahs
kwa hisani
CUHAS BUGANDO
at
21:27


- Two clicks for more privacy: The Facebook Like button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Facebook – see i.not connected to Facebook
- Two clicks for more privacy: The Google+ button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Google – see i.not connected to Google+
- Two clicks for more privacy: The Tweet this button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Twitter – see i.not connected to Twitter