katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini
BREAKING NEWZZ;MAELEZO YA KINA KUHUSU TAARIFA ZA WAOMBAJI WA MKOPO WA HESLB KURUDIA UPYA UOMBAJI WA MIKOPO YAO
Jul 30, 2013
katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini