katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini
BREAKING NEWZZ;MAELEZO YA KINA KUHUSU TAARIFA ZA WAOMBAJI WA MKOPO WA HESLB KURUDIA UPYA UOMBAJI WA MIKOPO YAO
Jul 30, 2013
katika taarifa rasmi zilizopokelewa kutoka bodi ya mikopo ni kwamba bodi imeongeza muda wa kuomba kwa wale ambao ni continuig student ambao walikua hawaja aply na kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kwa sababu mbalimbali hawakuweza kuaply ikiwemo na kwenda jkt na kwa wale waliocheleweshwewa matokeo yao,hivyo basi kwa kifupi ni kwamba taarifa hizo kua waombaji warudie kuomba ni za uongo na hazina ukweli wowote ila wale ambao walikua hawajaomba kabisa ndio wameongezewa muda wakamilishe maombi yao.idowload na uskile interviw hiii hapa chini
kwa hisani
CUHAS BUGANDO
at
04:18


- Two clicks for more privacy: The Facebook Like button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Facebook – see i.not connected to Facebook
- Two clicks for more privacy: The Google+ button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Google – see i.not connected to Google+
- Two clicks for more privacy: The Tweet this button will be enabled once you click here. Activating the button already sends data to Twitter – see i.not connected to Twitter