Pages

MWILI WA SAJUKI TAYARI NDANI YA KABURI :MUNGU AMETWAA

Jan 4, 2013
Read more ...

KAMA HUKUBAHATIKA KUHUDHURIA HARUSI YA DR:PETER MASKINI :BASI HII NI KWA AJILI YAKO

Jan 2, 2013









Read more ...

WELLCOME TO THE MAINCAMPUS CLICK THE TAG BELOW TO ENTER

Dec 17, 2012
Read more ...

COCACOLA INTERCOLLAGE MWANZA BASHH YAFUNIKA

Dec 16, 2012
 Kampuni ya cocacola imeendesha bonanza katika viwanja vya TUNZA BEACH .bash hiyo imehusisha vyuo vyoue kutoka mwanza .ambapo watu wamechill na kuenjoy katika michezo mbalimbali
  blogger wa bugando blog sadru mohamed akiwa mlinda mlango wa timu ya bugando katika sand fotball match kati ya chuo cha bugando na chuo cha saut


 watu wakichill na kuejoyyyyyyyyyyyyy
 baada ya team ya bugando kushinda puzzle ya sprite hivyo na kujishindia zawadi ya saa
 wadau kutoka CBE MWANZA katika pozyyy
                   timu ya ushindi kutoka bugando

             bayo nade kutoka bugando aliibuka mshindi baada ya kuwashinda wenzake katika shindano la kula biscut na kunywa soda katika dk 2.5
               bloggerwa bugando blog kushoto katika pozy na wadau wa vyuo vingine
Read more ...

HAWA NDIO WAZAZI WALIOMLAZIMISHA MTOTO WAO WA MIAKA 8 'KULAMBA' NYETI ZAO WAKATI WAKIFANYA TENDO LA NDOA!

Dec 13, 2012



ULE mwisho ambao ulitabiriwa ana manabii wengi unaonekana kuwa  karibu kabisa kwania haya matendo ambayo wanafanya binadamu kwa sasa yana sikitisha kabisa,.. Tukio la kusikitisha lililotokea hivi karibuni huko Nchini NIGERIA na kuonekana kuteka hisia za wadau wengi wa motandao hapa DUNIANI ni lile linalowahusu wazazi wa mtoto wa miaka 8 waliotoa kihoja ama kama si kituko pale walipomwamuru mtoto wao huyu kuwaangalia wakati wao wakifanya TENDO la NDOA......

Katika kudhihirisha hayo wasusika hao wanadaiwa kufanya hayo wakati wa TUKIO ambapo inaelezwa kuwa wakati wakiwa CHUMBANI wakipeana MAHABA moto moto ndipo walipokumbuka ya kuwa kulikuwa na mtoto wao huyo ambae  ni wa miaka 8 tu akiwa Sebuleni akiangalia TV.... Ndipo SHETANI alipompanda mama mzazi wa mtoto na kumwamuru mtoto huyo atoke Sebuleni na badala yake aje CHUMBANI na kuangalia Upuuzi wao..... Inasemekana kuwa mama mzazi alimwambia mwane huyo kuuwa nia ya kufanya hivyo ni kumfunza jinsi ya kufanya TENDO hilo ili atakapopevuka awe anaelewa ni nini kinaendelea katika ULIMWENGU huu kwani asipomonyesha kipindi hichi hakuna tena MTU Mwingine ambae angeweza kupoteza muda wake kumfundisha...

Taarifa zaid zinadai ya kuwa mara mtoto huyo mdogo kabisa kwa shingo Upande kukubali kutiii Masharti na Amri hiyo kali aliyopewa na mama yake mzazi ndipo wawili hao walioamua kufanya kila aina ya uchafu wa MAPENZI huku wakimwonyesha mtoto wao huyo jinsi ya kufanya.....   AMA kama hiyo haitoshi kitu cha kusikitisha zaidi ni pale wazazi hao walipomwamuru mtoto huyo Mdogo Ashiriki nao ili apate ujuzi zaidi... Mama mzazi ndio aliyeonekana SHETANI zaidi pale alipomwamuru mtoto huyo 'kuzilamba' sehemu zao za siri na kunyonya maji maji ambayo yalikuwa yakitoka wakati wa TENDO   na kuinyonya sehemu ya siri ya Baba yake.....

Tukio hilo la kusikitisha linaonekana kuwagusa watu wengi na watu wengi wameonekana kulaani kitendo hicho kichafu kilichofanywa na wazazi hao.........

CAHNZO: Parents Force 8-year-old Daughter To Watch Them Sexing and Lick/Suck Their Privates
Read more ...

DENTI AMWANGUSHIA KICHAPO KIZITO KIBAKA, NUSURA AUE!!

Dec 13, 2012

Kibaka aliyetaka kumpora denti wa kidato cha sita shilingi milioni tatu akiwa hoi baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi eneo la Area Five jirani na kituo cha Oil Com kilichopo maeneo ya Nane Nane mkoani Morogoro leo.
 Askari wa pikipiki maarufu kama 'Voda Fasta' walifika eneo la tukio na kumuokoa kibaka huyo asiendelee kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali.
Denti aliyefanikiwa kumkabili kibaka huyo, Marry Gasto (22) akiwa na begi lililokuwa na fedha hizo alizotumiwa na baba yake kama ada ya shule.
Read more ...

COLLAGE SPONSYIUM BASH KWA WANAVYUO WOTE WA MWANZA

Dec 12, 2012

Photo: ALL WELL COME

KAMPUNI YA COCACOLA IMEANDAA BASHH KWA WANAVYUO WOTE KUTOKA MWANZA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 15/12/2012 KATIKA VIWANJA VYA MALAIKA BEACH RESORT KUANZIA SAA 4 ASUBUHI HADI  SAA 12 JION

KIINGILIO NI SHILING 6000/ =  PAMOJA NA BITES NA DRINKS
EVENTS :
         GETTING TOGETHER 
         GAMES  KIBAOOO
         CHILLING

VYUO SHIRIKI

CBE MWANZA

SAUT(MWANZA CAMPUS)

BUGANDO

MIPANGO(MWANZA CAMPUS)

TIA

IQRA

VICTORIA INSTITUTE

CRDO MINING 

NGWANZA TEACHERS 


CONTACT GAZAR AHMED (CBE) 0755543542 

AU 0753143709 
Read more ...

KUTOKA EATV MKASI NA P-FUNK MAJANI

Dec 12, 2012

Read more ...

NA HUYU NDIYE MRITHI WA KANUMBA BAADA YA KUPEWA BARAKA NA MAMA MZAZI WA KANUMBA

Dec 12, 2012


MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ametoa baraka zake kwa mwigizaji chipukizi, Philemon Lutwaza ‘Uncle D’ ambaye anatarajia kuigiza katika filamu ya After Death ambayo ni maalum kwa kumuenzi marehemu mwanaye, Imelda Mtema anashuka nayo.
Akizungumza na paparazi wetu juzikati, mama Kanumba ameweka plain kuwa ameridhishwa na uwezo wa Uncle D na anaimani kuwa ataweza kuziba pengo la marehemu katika nafasi ya kucheza na watoto wale aliokuwa akiigiza nao marehemu
Namshukuru sana Jacqueline Wolper kwa kuandaa filamu ya After Death maalum kwa ajili ya kumuenzi mwanangu. Nina imani kila kitu kitakwenda vizuri na mimi nimewapa baraka zote ,” alisema mama huyo.
chanzo:globalpublishers
Read more ...

Chadema wamng’ang’ania Waziri Magufuli

Dec 12, 2012


CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kueleza kama msimamo alioutoa katika kampeni za Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga ni wa Serikali au wake.Chama hicho kimesema kuwa msimamo alioutoa Magufuli wa kuunga mkono Chama cha ODM ni hatari kwa Tanzania hasa katika uhusiano na nchi hiyo na ni kinyume na mkataba wa kimataifa wa Rome.

Pia kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kueleza kama alimtuma Magufuli katika mkutano huo wa kampeni uliofanyika Desemba 7 mwaka huu, uwanja wa Kasarani na kusema Watanzania wanaunga mkono ODM au la.Msimamo huo wa Chadema ulitolewa jana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa chama hicho, Ezekieah Wenje.

“Hatujui kama Magufuli alikwenda Kenya kama Serikali au alikuwa amekwenda kama rafiki. Hilo linatupa wasiwasi kwa kuwa hotuba yake ilionekana kama ametumwa na Serikali,” alisema Wenje na kuongeza;

“Alichukua upande katika siasa za Kenya, alimsifia sana Odinga kwamba Tanzania wanampenda wakati kuna mikataba ya kimataifa inayokataza nchi nyingine kuingilia siasa za nchi nyingine kama ilivyoelezwa kwenye Rome Statute.”
Read more ...

KUTOKA IN CAMPUS:KISA CHA WANAFUNZI WA UDAKTARI KCMC KUCHARANGWA MAPANGA

Dec 12, 2012

Read more ...

CORAL BEACH MASAKI HAPATOSHI JUMAMOSI HII!!

Dec 12, 2012
Read more ...

KOFFI OLOMIDE KUTOA BURUDANI KWA WAKAZI WA MWANZA JUMAPILI HII YA TAREHE 16/12/2012.

Dec 12, 2012
Read more ...

COLLAGE SPONSYIUM BASH KWA WANAVYUO WOTE WA MWANZA

Dec 12, 2012
Photo: ALL WELL COME

KAMPUNI YA COCACOLA IMEANDAA BASHH KWA WANAVYUO WOTE KUTOKA MWANZA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 15/12/2012 KATIKA VIWANJA VYA MALAIKA BEACH RESORT KUANZIA SAA 4 ASUBUHI HADI  SAA 12 JION

KIINGILIO NI SHILING 6000/ =  PAMOJA NA BITES NA DRINKS
EVENTS :
         GETTING TOGETHER 
         GAMES  KIBAOOO
         CHILLING

VYUO SHIRIKI

CBE MWANZA

SAUT(MWANZA CAMPUS)

BUGANDO

MIPANGO(MWANZA CAMPUS)

TIA

IQRA

VICTORIA INSTITUTE

CRDO MINING 

NGWANZA TEACHERS 


CONTACT GAZAR AHMED (CBE) 0755543542 

AU 0753143709 
Read more ...

HIVI NDIVYO ALIVYO MIKE TYSON BAADA YA KUBADILISHA JINSIA KUA MWANAMKE

Dec 12, 2012


Bondia maarufu katika enzi hizo za 2000 ameamua kubadili jinsia na kuwa mwanamke .baada ya kufanyiwa modifikation kwa masaa 16 huko nchini marekani,bondia huyo ameongeza na kusema kua atafurahi kupata hedhi yake kwa mara kwanza na kusema kua anajivunia kuwa mwanamke
Read more ...

KICHANGA CHA TUPWA JALALANI MASHUHUDA WADUAAA

Dec 11, 2012


 MWILI WA KICHANGA HICHO, UKIWA UMEFUNIKWA NA KITENGE CHA MWANAMKE ALIYEHUSIKA KUKITUPA KITOTO HICHO  HAPA MWILI WA KICHANGA HICHO UKIONEKANA BAADA YA KUONDOLEWA KITENGE  BAADHI YA WAKAZI WA KATA YA IYELA MTAA WA MAPAMBANO WAKIWA NA HUZUNI KUBWA BAADA YA KUFIKA ENEO KILIPOTUPWA KICHANGA HICHO  MWENYEKITI...
Read more ...

BUS KWETU TUNAOGA HIVII.....

Dec 11, 2012
ShambaEEEH WAANGALIE NA HAWA HUKU CHINI HEHE, NI KIJIJI CHA WANAWAKE TU, HUKO WANAUME HUWA WAPELEKWA KILA MWISHO WA MWEZI KWA AJILI YA KUPIGANA MITI VIPI UKITAKA MWEZI HUU UCHAGULIWE WEW TUJUZE HAPA UMBEYA@GMAIL.COM ILA SHARTI TUNAKUPIMA NGOMA KWANZA MAANA HUKO NI MWENDO WA KAVU KAVU HALOOO!
Read more ...

PICHA 5 ZA MASHOGA MAARUFU BARANI AFRIKA

Dec 11, 2012



Read more ...

DIAMOND THE PLATNUM VS AVRIL; ANGALIA PICHA 2 ZA DIAMOND AKIWA KATIKA POOZ NA AVRIL MH ETI WATU WANASEMA WANAD....

Dec 11, 2012


unasemaje kuhusu picha hizi?
Read more ...

ANGALIA PICHA ZA UCHAGUZI MPYA WA BONGO MOVIE; VICENT KIGOSI AWA MWENYEKITI MPYA WA BONGO MOVIE HUKU........!

Dec 11, 2012


Shilole akipiga kura

Mwenyekiti wa zamani wa Bongo Movies JB akimpongeza Jackline

Kutoka kushoto ni Chiki Mchoma, Ray na Jack Wolper

Irene Uwoya na Chiki

Hivi karibuni Bongo Movies ilipata viongozi wake wapya katika uchaguzi uliofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Read more ...