Pages

BAADA YA KUONDOKA YANGA, HAPA NDIPO ALIPOKWENDA SHEDRACK NSAJIGWA.">BAADA YA KUONDOKA YANGA, HAPA NDIPO ALIPOKWENDA SHEDRACK NSAJIGWA

Jun 8, 2012
Siku chache baada ya kusema kwamba hawezi kuiomba mkataba mpya Yanga baada ya wa zamani kuisha, nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Shedrack Nsajigwa sasa yupo nchini Kenya akifanya mazungumzo ya kujiunga na klabu kongwe ya nchi hiyo Gor Mahia Taarifa rasmi zilizoifikia shaffihdauda.com kutoka nchini Kenya zinasema kwamba Nsajigwa ametua Kenya jana na leo amekutana na viongozi wa klabu ya Gor Mahia na so far mazungumzo yanaenda vizuri na muda wowote wanaweza kufikia makubaliano na Nsajigwa akajiunga na mtanzania mwenzie ambaye walikuwa wakicheza wote Yanga na timu ya Taifa, Ivo Mapunda.(Mwandishi ni Shaffih Dauda