Pages

WANAFUNZI WA BUGANDO WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA NYASAKA MWANZA

Jun 30, 2012
 Hii ni sehem ya watoto wakati ambapo walikuwa wakiskiliza maneno kutoka kwa mwenyekiti wa msafara
                                       Kushoto ni Nuri akitake pics za ukumbusho

                                           Zaoro naye kama mwandamizi katika jopo hilo

                                   Godfrey kahamba akitake responsibility za kugawa kilichopo kwa watoto

                             Tino akimsaidia godfrey kugawa kile walichokuwa nacho kwa yatima hao




Bugando blog kwa niaba ya wanachuo wa bugando tunatoa shukraniu za dhati kwa wale wote waliofanikisha tukio hili muhimu na pia kuwapongeza wale wote waliochangia katika ile kidogo walichonacho
Mungu awaongezee kutoka pale mlipo toa .
                               AHSATENI SANA