KWAYA YA UINJILISTI AIC (T) PASIANSI MWANZA WAZINDUA ALBUM 'TUHURUMIE'
![]() |
| Kwaya ya AIC Unjilisti Pasiansi. |
![]() |
| Shughuli imefanyika katika viwanja vya nje ya kanisa la AIC Makongoro jijini Mwanza. |
![]() |
| Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja na Mr. Benjamin Kijika wakiangalia jinsi waimbaji wanavyomtukuza Mungu kwa uimbaji wao mzuri. |
![]() |
| Ilifana vya kutosha. |
![]() |
| Radio Presenter wa Kwaneema Fm Maria Philbert naye alikuwa shuhuda wa kile kizuri ambacho kilitendeka jana kwenye uzinduzi. |
![]() |
| Eagt Uinjilisti Kwaya nao wakipata flsh huku wakiwa wamekaa wakiwatch shughuli nzima. |
![]() |
| Aic Vijana Kwaya Bwiru. |
![]() |
| Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja akinunua nakala ya kwanza ya kwaya hiyo kuashiria uzinduzi. |
![]() |
| Aic Mwananchi kwaya. |
![]() |
| Aic Uinjilisti Pasiansi Kwaya wakiimba wakti wakizindua albam yao ya Tuhurumie. |
![]() |
| Hapa wakiimba wimbo wa albam Tuhurumie. |
| Chanzo | www.gsengo.blogspot.com |











