Pages

BAADA YA KWAYA YA BUGANDO KUZINDUA ALBUM YAO SASA AIC PASIASI WAZINDUA YAKWAO

Jul 24, 2012

KWAYA YA UINJILISTI AIC (T) PASIANSI MWANZA WAZINDUA ALBUM 'TUHURUMIE'

Kwaya ya AIC Unjilisti Pasiansi.


Shughuli imefanyika katika viwanja vya nje ya kanisa la AIC Makongoro jijini Mwanza.

Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja na Mr. Benjamin Kijika wakiangalia jinsi waimbaji wanavyomtukuza Mungu kwa uimbaji wao mzuri.
Ilifana vya kutosha.


Radio Presenter wa Kwaneema Fm Maria Philbert naye alikuwa shuhuda wa kile kizuri ambacho kilitendeka jana kwenye uzinduzi.


Eagt Uinjilisti Kwaya nao wakipata flsh huku wakiwa wamekaa wakiwatch shughuli nzima.


Aic Vijana Kwaya Bwiru.


Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja akinunua nakala ya kwanza ya kwaya hiyo kuashiria uzinduzi.


Aic Mwananchi kwaya.

Aic Uinjilisti Pasiansi Kwaya wakiimba wakti wakizindua albam yao ya Tuhurumie.

Hapa wakiimba wimbo wa albam Tuhurumie.

Kwaya ya AIC Uinjilist Pasiansi leo jumapili wameweza kuzindua albam yao ya video kwa kishindo huku wakiwa wamepata takribani 5..9 milioni wakiwa na malengo wa kutafuta milioni 50 kwa ajili ya ununuzi wa coaster, uwanja wa kujenga hosteli ya wageni pamoja na vyombo vya muziki. Mungu ibariki kazi yao AMEN.  


Chanzo www.gsengo.blogspot.com