Pages

BREEKING NEWZZZ MAJINGE APIGWA CHINI

Jul 14, 2012
kikao cha board ya hospitali ya rufaa Bugando kimeamua kumsimamisha kazi rasmi mkurugenzi wa hospitali hiyo Dr. Majinge.
sababu ni kufaukuza, kuwadharirisha, kuita police na kuwanyima chakula interns katika hospitali hiyo waliokuakwenye mgomo.
habari n kutoka ndan y kikao hicho.


Source
 http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/292240-mkurugenzi-wa-hospitali-ya-bugando-atimuliwa-kazi.html#post4238195