![]() |
| Jerusalem Band ni moja kati ya makundi yaliyosisimua umati uliofurika kutokana na uimbaji na nyimbo zake kukubalika kwa watu wa kila rika. |
![]() |
| Mama Mutashi wa Jerusalem Band akiimba kwa hisia ndani ya kusanyiko hilo la kusisimua uwanja wa Furahisha jijini Mwanza jana jumapili. |
![]() |
| Moja kati ya vivutio walikuwa hawa Askari wa Yesu wakiwa Patrol uwanja wa Furahisha jijini Mwanza. |
| Kwaya ya EAGT Msumbiji. |
| EAGT Jordan kwaya kutoka Pasiansi Mwanza. |
| Halaiki ya watu waliojitokeza kupokea ujumbe wa Mungu. |
| EAGT Mkudi kwaya kutoka Mwanza. |
| EAGT Kanaan kwaya kutoka Nyakato Mwanza. |
| EAGT Msumbiji wakiwajibika |
| Askari wa Yesu wakiwa Patrol uwanja wa Furahisha jijini Mwanza. |
| Askofu Moses kulola (wanne kutoka kushoto) akiwa na maaskofu, wachungaji wa Kanisa la EAGT Mwanza na watumishi wa makanisa mbalimbali wakiwa wameketi katika jukwaa kuu. |
![]() |
| Meza hii ya mama huyu viliuzwa vitabu vya Injili yaani Biblia, Tenzi za Rohoni na vitabu vingine vilivyo katika lugha ya kisukuma. |
![]() |
| Cd na Dvd za Uimbaji zilipatikana katika meza hii. |




