Pages

ENGINEER WA VODACOM APATA PIGO KALI, AFIWA NA MKEWE

Jul 23, 2012


Marehemu Belinda J. Mwapinga enzi za uhai wake.
Marehemu Belinda J. Mwapinga alifariki tarehe 20/07/2012 katika Hospitali ya Muhimbili na mazishi yake kufanyika tarehe 23/07/2012 katika makaburi ya Kinondoni.

Baba Padre akitoa heshima yake ya mwisho kwa mwili wa Belinda. J. Mwapinga jana katika Kanisa la Katoliki Extenal Dar es salaam
Joseph Mwapinga mwenye suti nyeusi akiwa na watoto wake alio achiwa na mke wake kipenzi Belinda.
Wafanyakazi wa VODACOM Tanzania wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Belinda wakiufikisha katika makaburi ya Kinondoni.
Mhandisi Joseph Mwapinga akiweka shada la mauwa kwenye kaburi la Mke wake.
Hawa ni baadhi ya waombolezaji waliohudhuria kwenye safari ya mwisho ya Belinda.