Pages

BABU AKUTWA AKIWANGA UCHII WA MNYAMA!

Nov 23, 2012



Kibabu huyo akiwa amevishwa nguo.
MZEE moja ambaye jina lake halikupatikana,jana alinusurika kufa baada ya wananchi wenye hasira kutaka kumchoma moto baada ya kudai walimkuta akiwanga usiku wa manane kwenye nyumba moja eneo la Mfisa mkoani hapa.