Pages

MWANAFUNZI AMWAGIWA MAJI YA MOTO KWA KUGOMBEA MVULANA

Nov 29, 2012
 
HII ni picha ya tukio la kusikitisha anbapo mwanafunzi mmmoja mbaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja alipomwagiwa maji ya moto na mwenzake huku chanzo kikisemekana kuwa ni MVULANA ambae alikuwa akitembea nao wote wawili kwa wakati mmoja!!

Hivi namna hii kweli wananfunzi wetu mnaelekea wapi jamani?