Pages

RAYUU KUCHEZA PICHA ZA NGONO SOUTH AFRICA

Nov 18, 2012
















































































MSANII  wa filamu na tamthilia bongo Rayuu, inadaiwa kuwa amepewa mchongo mkubwa wa pesa ndefu endapo atakubali kushiriki kwenye picha ya ngono huko Afrika Kusini ambayo inashirikisha nyota kibao wa ndani ya Afrika.

Inadaiwa kuwa msanii huyo ameonekana na watu hao baada picha zake kadhaa kuzagaa kwenye mtandao ndipo wapoliamua kumtumia ujumbe kwa njia ya mtandao, na kama atakubali basi atakula mshiko ambao hajawahi kuukamata tangu alipodhaliwa.
 

Chanzo kikubwa cha kuaminika kilichofanya upekuzi huo, kilibaini ukweli kwamba msanii huyo anachati na watu hao lakini hajawaweka wazi kama ataweza kufanya ishu hiyo ambayo itambidi asafiri.
 

Mpekuzi wetu alitumia muda wa saa kadhaa kukaa na msanii huyo na kumdadisi lakini hakupewa chochote na inadaiwa kuwa ishu hiyo ipo na watu wanamtaka kutokana na uzuri wake, pia wameona ni mtu ambaye hana aibu baada ya kuziona baadhi ya tattoo kwenye makalio yake.
 

“Inadaiwa kuwa jamaa walichokipenda kwanza ni msanii pia hana aibu kwani aliweza kuchora tatoo, lakini sijui kama msanii huyo amewajibu kwani habari nilizonazo tena nimeona kupitia macho yangu ni hizo, asa sijui ni watu wanamzingua au vipi,”
 alisema mpekuzi wetu.

Hata hivyo alipotafuwa 
Rayuu kuulizwa juu ya ishu hiyo alibaki kuchecheka na hakuna chochote alichozungumza zaidi ya kudai kuwa kuna watu wamemtumia mail ya kumtaka akacheze picha hizo kwa dau kubwa lakini hajawajibu kwani anahisi wanataka kumuharibia mipango yake ya maisha kwa madai hiyo kitu ambayo hawezi kufanya katika maisha yake.