Pages

BREEKING NEWZZZ SHALO MILLIONARE FARIKI DUNIA

Nov 26, 2012

 
 
 
Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Sharobaro, baada ya kupata ajali majira ya saa 2 usiku katika kijiji cha Lusanga, Muheza ambapo pia ndio nyumbani kwao. Sasa naweza kusema R.I.P Sharomilonea. Maiti ya Sharo Milionea imehifadhiwa hospitali ya Teule Muheza